Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Umeshawahi kukutana na swali linakudhalilisha hadi unajiuliza kama ulisoma au ulilizwa? Basi leo nakuletea beast yenyewe, yenye kuhitaji hesabu za ukweli, concept za deep physics, na akili ya...
2 Reactions
16 Replies
857 Views
Leo nimekumbuka historia hii kama kumbukumbu: Chuo Kikuu cha Dar es Salaam almaarufu kama UDSM kilianzishwa mwaka 1961 kikiwa na kitivo kimoja tu cha Sheria. Kilianzia Lumumba na sasa Mwalimu...
10 Reactions
131 Replies
64K Views
Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja...
6 Reactions
177 Replies
26K Views
Kama ilivyo hapo kwenye heading Naomba msaada kidogo wakuu hapa Nashindwa kuelewa Haya madaraja ya GPA ya vyuo vikuu yakoje, Mfano first class inaanzia ngap mpaka gap , second class n. k Naomba...
2 Reactions
13 Replies
17K Views
Wakuu habari , thread hii nimeanzisha makusudi kwa lengo la kusaidia walimu na wanafunzi wa kidato cha nne ambao wanajiandaa na mtihani wa TAIFA (NECTA). Here we go!. Mimi nitatoa hints au...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Anonymous
Shule ya Tusiime iliyopo Tabata jijini Dar es Salaam inadaiwa kuajiri walimu kutoka nchini Uganda (zaidi ya 50), kinyume na Sheria ya kuratibu ajira za wageni nchini ya 2015, lengo likitajwa...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Nina wadogo zangu baadhi wameamua kwenda kuanza mapema kusomea Taaluma vyuoni. Nikiwa kama mtu mzima ninayezijua changamoto za wahitimu wa sekondari kupata wakati mgumu kuchagua taaluma ya...
3 Reactions
63 Replies
3K Views
Wakuu naomba Ushauri. Nahitaji kusoma shahada ya Kwanza (Degree) ila nina vikwazo vifuatavyo; Muajiriwa Serikalini nina miezi 7 Nipo mbali na vyuo Naitaji kusoma kwa Siri asijue mtu Kazini. Nipo...
0 Reactions
7 Replies
867 Views
Wandugu habarini za leo? Naomba kwa mwenye ideas na Masters of Project Management toka Chuo Kikuu Huria Tanzania, nahitaji kujua upatikanaji wa materials, lecturers na changamoto zilizopo pia...
6 Reactions
68 Replies
29K Views
Kuna taasisi nyingi hivi sasa ni agents wa vyuo vikuu nje ya nchi,kama kuna mtu mwenye ushuhuda kuhusu ukweli wao kama sio matapeli naomba anifahamishe kabla sijafanya maamuzi,,,hususan TASSAA na...
6 Reactions
53 Replies
8K Views
Ndugu wanajamvi naombeni mwenye uelewa wa kozi mbalimbali ngazi ya certificate na Diploma zinazotolewa na Alison Online je cheti chake kinatambulika Duniani kwenye ajira au kujiendeleza?
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Faidika na fatwa mbalimbali za masheikh wakubwa wa Kisunni kama vile: Sheikh Al-Albani Sheikh Ibn Baaz Sheikh Ibn Uthaymiyn Sheikh Muqbil Sheikh Fawzan Fatwa hizi zipo katika mfumo wa video...
1 Reactions
0 Replies
515 Views
Habari wanajamvi Naombeni tujuzane juu ya uzuri wa course ya Information Technology (IT) ni vipi unaweza kujiajiri na pia kama utaajiriwa unafanya kazi wapi? Karibuni[emoji116] [emoji116] [emoji116]
4 Reactions
36 Replies
33K Views
Tangazo hilo hapo By the way, ada ya law school ni kiasi gani? My Observation...kozi zote walizoziweka, unazisoma zote darasani 1st year to 3rd year. It is like a repetition..why that repetition?
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Samahani ndugu zangu, mwenye uelewa kuhusiana na foundation course naomba ufafanuzi, na pia ni vyuo vipi vinavyo toa hiyo course kwa Masomo ya Mathematics na chemistry (Education)
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Jamani Mimi ni applicant wa hiki chuo (SUZA) nipo bara.. Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hiko chuo tafadhali naomba maelekezo, maoni na Ushauri pia#
0 Reactions
34 Replies
7K Views
Kama wewe ni msee wa PCB (Physics, Chemistry, Biology) au unayo mtoto anakamua advance na anazidiwa na hizi topics ngumu– basi stop struggling alone, coz I'm the plug you’ve been looking for...
3 Reactions
5 Replies
546 Views
WALIMU WACHAPWA FIMBO NA WAZAZI SHULENI. Itakumbukwa kuwa Mwaka 2009 ilitoke tukio la Mkuu wa Wilaya Bukoba wakati huo Bw, Albert Mnali aliyeamuru polisi mmoja kuwachapa viboko...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Hello habari, Malalamiko yamekuwa mengi kwa wanafunzi wa clinical officer kwa vyuo vingi hapa Tanzania, wanafunzi wanafelishwa makusudi, vyuo vingi wanaopata pass hata robo ya darasa hawafiki...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Mdau mmoja anapitia changamoto juu ya program gani ya afya nzuri aende kusoma mwaka huu, yenye urahisi wa ajira.
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…