Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Mambo ya kubishana chuo gani kimeiva, chuo gani kinatoa wanafunzi cream, n.k. huwa yanaishia vyuoni. Baada ya kumaliza chuo kama huna connection, je chuo ulichosoma kinakuboost upewe kipaumbele...
10 Reactions
97 Replies
7K Views
Anonymous
Serikali yetu inahimiza suala la haki, inapinga unyonyaji. Lakini hii imekuwa tofauti katika baadhi ya wahadhiri wa baadhi ya kozi za kiswahili mwaka wa tatu (CoED & Co. Of social sciences)katika...
1 Reactions
6 Replies
514 Views
Wastewater treatment combines physical, chemical, and biological processes to eliminate pollutants, pathogens, and harmful substances to produce safe water for discharge into the environment or...
1 Reactions
1 Replies
676 Views
Habari zenu wadau wa JF. Imeonekana kwa muda mrefu sasa kuwa mambo mengi yenye matokeo hasi ambayo hayawezekani sehemu nyingi duniani, yanawezekana sana kufanyika nchini Tanzania. Jamii ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu kwema Naomba kuuliza ivi hii page ya nactvect ni kwangu tu au Maan leo siku ya tatu haifunguki nataka kufanya application za vyuo
1 Reactions
2 Replies
308 Views
Lini Dr. Magufuli rais wetu mpendwa utaitembelea chuo cha ufundi Arusha? Kuna ufisadi wa kutisha. Mkuu wa chuo ana PhD feki, amenunua vyombo vya serikali ikiwamo Takukuru. Jengo la km Tshs. 3...
0 Reactions
37 Replies
8K Views
Habari zenu Wana JF. Nimeapply Kwa Ajili ya Field Tangia mwezi wa 4 ila bahati mbaya mpaka sasa sijapata field. Mwenye msaada anisaidie tafadhari Tunaanza field tarehe 21/7 na kumaliza tarehe...
4 Reactions
5 Replies
646 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Anselmo Komba, amesema kuwa taasisi hiyo imefanikiwa kuweka mazingira jumuishi ya kujifunza kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum kwa...
1 Reactions
3 Replies
352 Views
Mimi ni mwanachuo nae soma education, Nataka nifute usajili nikaaply mwaka huu upya tena, Je inawezekana wakuubwa zangu
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Baada ya kuhitimu kidato cha nne ile miaka ya 2000s, nikitokea shule ya bweni, nilimtembea rafiki yangu ambaye tulipohitimu shule ya msingi, yeye alichaguliwa sekondari ya kutwa na mie walau...
2 Reactions
0 Replies
298 Views
Nimejaribu kuchunguza matokeo ya wadogo zangu wanaotoka form 4 kwenda kusoma advance PCB nimebaki nalia na kujiuliza hawa madogo walifaulu vipi form 4. Kuna mmoja ni best yangu sana tu form 4...
17 Reactions
284 Replies
11K Views
Nambo mwenye kujua atusaidia ili tujue wenzetu wanafanyaje maana sisi kila awamu na yake. Sitashangaa Raisi ajae akaja na minimum qualifications kuwa ni point 5 au hata akaturudisha kwenye point...
2 Reactions
44 Replies
6K Views
Salaam kwenu, Nina mdogo wangu kahitimu chuo .Ana Degree ya ualimu lakini anataka akasomee ktu kingine ambacho kitampa chance nzuri ya kujiajiri au kuajiriwa. alitaka akasomee kmojawapo kati ya...
1 Reactions
38 Replies
26K Views
Samahani kwa usumbufu kwa mwenye uelewa na hili mimi jina langu la kwenye vyeti na NIDA linatofautiana kidogo kwenye vyeti linasomeka ALY ABDALLAH KIDABI na kwenye nida inasomeka ALY ABDALAH...
0 Reactions
11 Replies
697 Views
Habari zenu humu, Tafadhali nauliza je ni chuo gani hapa tanzania kinafundisha kozi ya kutengeneza vyerehani? yaani SEWING MACHINES MECHANICS. Kama unajua jina la chuo, mkoa kilipo, ada, na muda...
2 Reactions
3 Replies
462 Views
Habari wakuu, naomba msaada Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika kozi ya diploma in Clinical Dentistry nikiendelea na masomo yangu katika Kigamboni City College of Health and Allied...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Kijana wangu amechaguliwa kujiunga na kidatu cha tano tahasusi ya HGL Nimepewa orodha ya vitabu. Je vitabu gani yaniapasa kuvinunua kutoka katika orodha ambavyo atasoma navyo kidatu cha tano?
2 Reactions
1 Replies
247 Views
Kwakwel mm nikisikia mtu alianza kusoma kozi Fulani certificate akaenda diploma halaf degree na kuendelea uko mbele napendekeza wawe mafundi au wapewe kazi za matendo zaidi ndo watazimudu kwa...
7 Reactions
206 Replies
7K Views
Muonekano na tabia ya mtu daima hupambwa na mavazi. mavazi hubeba dhima kuu za tabia ya mwanadamu kisaikolojia . Na ndio, maana hata tapeli, nyakati nyingine, akitaka kumkwida mtu huangazia...
4 Reactions
43 Replies
1K Views
Wakuu salama? Katika kuhangaika hapa na pale nimekutana na kikwazo cha kuwa na matokeo ya IELTS au TOEFL. Sijawahi kuona pepa za mitihani ya aina hiyo hata siku moja, nimeangalia yutyubu lakini...
1 Reactions
42 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…