Kozi yenye uhitaji kwenye soko la ajira

Kozi yenye uhitaji kwenye soko la ajira

Mgm-

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2019
Posts
6,040
Reaction score
8,714
Salaam kwenu,

Nina mdogo wangu kahitimu chuo .Ana Degree ya ualimu lakini anataka akasomee ktu kingine ambacho kitampa chance nzuri ya kujiajiri au kuajiriwa. alitaka akasomee kmojawapo kati ya sheria au IT lakini nmemkatalia kusomea IT kwasababu huku mtaani wahtimu wapo wengi, wanadevelop project nzuri kabisa lakini hawana wa kumuuzia hizo project zao kwa sababu giant films zote znanunua toka nje.

Nimemshauri asomee sheria kwa sababu akimaliza chuo hata asipopata ajira anaweza kufungua ofisi yake ya mwanasheria na akapiga kazi.

Wanabodi, je nmemshaur kitu sahihi? Au kuna kozi zenye pesa nzuri zaid anaweza kusomea?

Halafu je, ni ipi model nzuri ya yeye kusoma? akasome post graduate au akaanze upya kama vile katoka form six?

(Advance kasoma PCB)
 
Salaam kwenu,

Nina mdogo wangu kahitimu chuo ngazi ya Degree Bsc. in Chemistry lakini anataka akasomee ktu kingine ambacho kitampa chance nzuri ya kujiajiri au kuajiriwa. alitaka akasomee kmojawapo kati ya sheria au IT lakini nmemkatalia kusomea IT kwasababu huku mtaani wahtimu wapo wengi, wanadevelop project nzuri kabisa lakini hawana wa kumuuzia hizo project zao kwa sababu giant films zote znanunua toka nje.

Nimemshauri asomee sheria kwa sababu akimaliza chuo hata asipopata ajira anaweza kufungua ofisi yake ya mwanasheria na akapiga kazi.

Wanabodi, je nmemshaur kitu sahihi? Au kuna kozi zenye pesa nzuri zaid anaweza kusomea?

Halafu je, ni ipi model nzuri ya yeye kusoma? akasome post graduate au akaanze upya kama vile katoka form six?

(Advance kasoma PCB)
Hapa bongo kila kozi ni deal.. asikudanganye mtu
 
Kozi zote za afya na kozi zile za ufundi stadi za VETA,
Achana na sijui literature, linguistic, kiswahili,bba,education, sociology, hrm,accounting, political science, public administration, it,computer science
sawa mkuu,japo kozi za afya hazipendi
 
PCB best course
..... Medical Doctor
.... Dentist
... Phamacology
... Veternary nk

UFAULU WAKE UKOJE
F6 na Degree GPA ngap..??
ngoja nimuulizie mara moja nko nae mbali
 
Salaam kwenu,

Nina mdogo wangu kahitimu chuo ngazi ya Degree Bsc. in Chemistry lakini anataka akasomee ktu kingine ambacho kitampa chance nzuri ya kujiajiri au kuajiriwa. alitaka akasomee kmojawapo kati ya sheria au IT lakini nmemkatalia kusomea IT kwasababu huku mtaani wahtimu wapo wengi, wanadevelop project nzuri kabisa lakini hawana wa kumuuzia hizo project zao kwa sababu giant films zote znanunua toka nje.

Nimemshauri asomee sheria kwa sababu akimaliza chuo hata asipopata ajira anaweza kufungua ofisi yake ya mwanasheria na akapiga kazi.

Wanabodi, je nmemshaur kitu sahihi? Au kuna kozi zenye pesa nzuri zaid anaweza kusomea?

Halafu je, ni ipi model nzuri ya yeye kusoma? akasome post graduate au akaanze upya kama vile katoka form six?

(Advance kasoma PCB)
Mwambie akasome MD au phamarcy.
 
Back
Top Bottom