Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Nipo Mbeya kuna mtoto wa ndugu yangu ana changamoto ya kuongea(bubu) nataka kufahamu shule ambayo inapokea watoto wa namna hii
2 Reactions
8 Replies
938 Views
Wakuu naomba mnitumie kitabu cha TCU chenye courses na maelekezo yake
0 Reactions
3 Replies
753 Views
Habari za majukumu, Naitaji kusoma degree ya Open University nahitaji kujua utaratibu wa namna ya kusoma kwa huo mfumo. Nini nikifanye na changamoto zipi zinaweza tokea katika hili! Asante
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari zenu wana jamii africa, naomba ufafanuzi juu ya hii course ya Bachelor of science in mechatronics engineering kwa wataalamu wa mambo hayo, wahitimu wa course hiyo hata wale ambao bado...
1 Reactions
2 Replies
713 Views
Habari zenu wakuu.nilikuwa naomba kufahamishwa zaidi juu ya hiyo kozi tajwa hapo juu..kuhusu fursa zake,mchango wake kwenye kujiajiri na chuo gani kinatoa hiyo kozi kwa ufanisi hapa...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Kama mada inavyojieleza kipindi hiki cha alfajiri na mapema nakutana na watoto wadogo kwenye usafiri wa umma.. wakiwahi shuleni. Je, Ndio sera mpya ya elimu?!
2 Reactions
6 Replies
462 Views
🎓 Career Mastery Hub – Your Trusted Partner for Global Success At Career Mastery Hub, we do more than just handle paperwork. We provide expert career counseling and foreign admissions guidance...
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Kwanza kabisa ninakiri kufahamu mchango wa HESLB kwa wanafunzi wa elimu ya juu katika ufanikishaji wa ndoto za vijana kwa kiasi. hili la ukopeshaji wanafunzi wa elimu ya juu liangaliwe upya...
0 Reactions
1 Replies
370 Views
Tunapojadili kuhusu kushuka kwa elimu yetu na kupungua kwa ubora wa wahitimu tusisahau kuangazia vinu vinavyozalisha wasomi hao. Juzi nilimtembelea rafiki yangu ambaye ni mhadhiri katika Chuo...
6 Reactions
62 Replies
7K Views
  • Poll Poll
Habari wanachama wa JamiiForum, Je, uko katika njia panda, ukifikiria kama utafanya Shahada ya Uzamili (Masters) au kupata cheti cha PMP? Vyote ni vya heshima na vinaweza kuathiri kazi yako kwa...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Wadau January ndiyo hiyo na interview za form 1 zimeanza. Naomba mwenye kujua school fees za: 1. BAOBAB 2. MARIAN 3. HAMES Na kama una pendekezo la shule yenye schoo fees rafiki isiyozidi 2M kwa...
3 Reactions
27 Replies
16K Views
Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu naombeni mnisaidie kwa anayefahamu MasterCard foundation scholarships inayotolewa pale UWC in south Africa tafadhali maana ni ndiyo yangu kusoma...
1 Reactions
8 Replies
563 Views
Habarini. Kwa mwenye uzoefu wa vyuo vikuu vya nje ya nchi vyenye hadhi, vinavyotoa kozi mbalimbali online, naomba anisaidie majina ili niweze kuvifatilia
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni kweli kuna tatizo la ajira lakini viwango vimetofautiana kwa kozi Kuna kozi kama Bima, Environment, Philosophy, siasa, Business administration, n.k. Ni ngumu kujiajiri na ni nadra kusikia...
10 Reactions
16 Replies
2K Views
Anonymous
Uongozi wa Taasisi ya Teknologia ya Dar Es Salaam ( DIT ) wazuia wanafunzi kugenerate control number kwa kuufungia mfumo na kuwaambia waandike barua waje kufanya special kinyume na utaratibu.
1 Reactions
1 Replies
292 Views
Jamani nimemaliza Form six comb CBG courses nzuri na marketable zaidi naweza kuxoma na chuo kipi?
1 Reactions
2 Replies
406 Views
Habarini, nahitaji kuomba MasterCard foundation scholarship katika chuo cha western cape kilichopo south Africa, kama kuna mtu anakifahamu hicho naomba anisaidie kunipa experience kidogo.
0 Reactions
0 Replies
176 Views
1. Have a Clear Research Question Know your thesis topic and specific research questions. This helps filter relevant articles and avoid information overload. 2. Skim Before You Dive Deep Start by...
0 Reactions
0 Replies
396 Views
Petroleum petroleum namba wanaisoma! Watu wana masters zao namba wanaisoma, watu wana PHD zao namba wanaisoma. Namba shufwa wanazisoma, namba witiri namba tasa. Watu wana mauzoefu yao namba...
29 Reactions
101 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…