KERO Kuzuiwa kwa wanafunzi wa DIT kugenerate control number.

KERO Kuzuiwa kwa wanafunzi wa DIT kugenerate control number.

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Uongozi wa Taasisi ya Teknologia ya Dar Es Salaam ( DIT ) wazuia wanafunzi kugenerate control number kwa kuufungia mfumo na kuwaambia waandike barua waje kufanya special kinyume na utaratibu.
 
Uongozi wa Taasisi ya Teknologia ya Dar Es Salaam ( DIT ) wazuia wanafunzi kugenerate control number kwa kuufungia mfumo na kuwaambia waandike barua waje kufanya special kinyume na utaratibu.
Poleni sana.

-sababu za kufungiwa mfumo ni zipi?

-kwa nini waandike barua? Wamefanya makosa gani?

-waliofungiwa ni wanafunzi wote wa chuo au baadhi tu?

-vipi viongozi wa wanafunzi wenyewe wanajua hilo tatizo? Wamechukua hatua gani kama viongozi?

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom