crome20
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 1,130
- 721
Wadau January ndiyo hiyo na interview za form 1 zimeanza. Naomba mwenye kujua school fees za:
1. BAOBAB
2. MARIAN
3. HAMES
Na kama una pendekezo la shule yenye schoo fees rafiki isiyozidi 2M kwa mwaka please tujuzane.
Au ushauri wowote kuhusu shule za Form 1
1. BAOBAB
2. MARIAN
3. HAMES
Na kama una pendekezo la shule yenye schoo fees rafiki isiyozidi 2M kwa mwaka please tujuzane.
Au ushauri wowote kuhusu shule za Form 1