Samahani wanajukwaa,
Ninaomba kufahamishwa juu ya kozi tajwa hapo juu inayotolewa na chuo cha Muhimbili katika hospitali ya KCMC chini ya RDTC, hususani unatambulikaje baada ya kuhitimu hiyo kozi, salary scale yake serikalini, ajira zake, majukumu yake ya kazi na mengineyo.
Karibuni wanajukwaa kwa kuchangia
Ninaomba kufahamishwa juu ya kozi tajwa hapo juu inayotolewa na chuo cha Muhimbili katika hospitali ya KCMC chini ya RDTC, hususani unatambulikaje baada ya kuhitimu hiyo kozi, salary scale yake serikalini, ajira zake, majukumu yake ya kazi na mengineyo.
Karibuni wanajukwaa kwa kuchangia