Ndo juzi tumefungua na ni kua kila mtu katoka kwao hamjuani mana nimda mfupi sana na mfano ni hawa first year tayari ni bond na pairs::::hatukatai mapenzi......Ila kwa mda mfupi na tujadili pia...
waraka wa elimu no 5 wa 2012 uliosambazwa hivi karibuni unaonesha kuwa form 4 watafanya pepa wiki ya pili ya november na fom 6 wiki ya kwanza mei na fom 5 itaanza wki ya kwanza julai. Ishu hapa ni...
The executive committee of the Tanzania Food and Nutrition Students Association(TAFONUSA) hosted at Sokoine University of Agriculture under the department of FOOD SCIENCE AND TECHNOLOGY, is...
Wiki mbili zilizopita dean of students alituambia boom litaingia tukaona kimya,wiki iliyoisha yaani tar 8 hadi 13,wakaitisha kikao jumatatu jion wakatuambia pesa zimeingia na wanahitaji namba za...
Ndug wanajukwaa naomba kujua kama kuna mtuambaye ameshafanikiwa kuappeal HESLB kwa sababu nimejitahidi sana kuappeal kwa kufuata maelekezo waliyotoa katika blog yao.Kama kuna mtu ambaye...
Zimebakia siku chache for the first tym vijana wapya kwenda kushuhudia na kupata elimu ya chuo kikuu,vijana wanahamu sana ya kufika dodoma university kwakuanza safari nyingine ya makamuzi lengo...
Naiomba wizara ya elimu na watanzania wenye uchungu na nchi yetu kuingilia kati mpango wa EZEB(bod ya mitiani ya kanda ya mashariki) wa kporomosha na kudumaza elimu. Bodi hi imeshindwa kutimiza...
Hi wanajamvi. Nimepata taarifa jana zilizonickitish kweli na kuamua ku2pia kwa wana jamvi ili 2jadili elimu yetu inaelekea wapi. Nipo kijiji kimoja mkoani mtwara kwa ajiri ya kuwaletea maji wana...
Nimesikitishwa sana na tabia ya viongozi wa Idara ya elimu idara ya sekondari ya kupunguza baadhi ya wasimamizi wa mitihani kwa kisingizio cha mitihani kupungua.Halmashauri nyingine hakuna mambo...
Maajabu yatokea katika foleni ya kupata magodoro kwa mwaka wa kwanza, Dada mmoja azimia katika foleni cha kushangaza baada ya kuambiwa achukue godoro ili akapumzike akapata fahamu" daah ni shida...
kwa wale continuous waliokosa mkopo ambao waliomba upya kwa mara nyingine tunatakiwa tuwe na subira majibu yetu yatakuja,hata mimi ni muathirika wa hilo
ishu iko hivi,mimi nasoma mlimani ila...
Jamani habari za kazi wakuu,
Mi naomba mnisaidie namna ya kupata scholarships za Bachelor Degrees.
Nataka kusoma kimoja kati ya hivi: Information Technology, Computer Science, na...
Mara nyingi watu hujisahau sana na kujikuta pasi imeunguza nguo na hivyo kubaki na mabaka meusi ambayo kama ukinyoosha nguo ambayo ni nyeupe, kuna uwezekano nguo kuchafuliwa...
Basi mimi binafsi...
naomba mniambie kwa hawa wa first year izi direct cost tunazolipa,,hata kama una card ya bima lazima ulipe tena medical capitation fee,,,,na udoso tunalipaje,,naomba msaada naelekea bank...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.