Hii inatokana na mfumo mbaya wa elimu, kwangu mimi 30% ni failure, kwa hiyo unaendelea na wanafunzi wengi ambao ni failure, unategemea nini huko baadae! Issue sio kushusha passing marks, bali kuoverall system nzima ya Elimu kwa iliyopo sasa ni mkorogano mtupu......sijui hata kama syllubus zinafuata, naona kama kila shule ina syllubus yake......Sidhani hata kama Wizara inafanya ukaguzi na usimamizi wa shule hizi.....enzi zetu ulikuwa ukisoma Azania na ukija Ilboru mambo hayasumbui kivile....leo hii chukua mwanafunzi umuamishie shule nyingine...utaona habari yake.....
Hii inatokana na mfumo mbaya wa elimu, kwangu mimi 30% ni failure, kwa hiyo unaendelea na wanafunzi wengi ambao ni failure, unategemea nini huko baadae! Issue sio kushusha passing marks, bali kuoverall system nzima ya Elimu kwa iliyopo sasa ni mkorogano mtupu......sijui hata kama syllubus zinafuata, naona kama kila shule ina syllubus yake......Sidhani hata kama Wizara inafanya ukaguzi na usimamizi wa shule hizi.....enzi zetu ulikuwa ukisoma Azania na ukija Ilboru mambo hayasumbui kivile....leo hii chukua mwanafunzi umuamishie shule nyingine...utaona habari yake.....[/QUOTE
Kuongeza wastani si tatizo, tatizo ni kwamba hizi shule za kata zina walimu wa kutosha kuwafundisha wanafunzi? Z
amani wastani ulikuwa ni 30 na shule zilikuwa chache na walimu walikuwepo na ndio maana failures haikuwa kubwa sana.mimi naona watakaoathirika na haya mabadiliko ni watoto wa maskini wanaosoma shule za kata ambazo hazina vifaa vya kujifunzia pamoja na walimu.
Kama wastani wa ufaulu hautashushwa hadi 21. basi tungojee disaster kubwa, kuna shule zitakuwa na wanafunz 7 tu kidato cha tatu! mwakani.
Kama wastani wa ufaulu hautashushwa hadi 21. basi tungojee disaster kubwa, kuna shule zitakuwa na wanafunz 7 tu kidato cha tatu! mwakani.
hivi mtu aliokosa 50% FII huko FIV atakwenda kupata nini ???!!! tuwe serous, vijana wafundishwe vizuri, waalim wapate
nyongeza za mishahara, mazingira ya shule yaboreshe ikiwa ni pamoja na maabara na maktaba!!
Tumechoshwa na mulugese !!!