Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Naomba orodha ya vyakula vinatumuka kwa wingi na mzunguko wake in mzuri naomba msaada jamani
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwenu wadau, Kuna kiasi nimepata hapa, nahitaji kuwekeza katika hizi biashara za Maxmalipo na Selcom, kwa wazoefu tupeane ujuzi ipi ni bora na kamisheni zake ziko vipi. Karibuni.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Opportunity for all people who are in mining sector, Click the link below to download and fill registration form Conference: Business Trip of German Mining Industry to Tanzania
0 Reactions
3 Replies
718 Views
Business opportunity : we need Black Clay,10,000 tons. Transportation is on the buyers. if anyone has please quote price together with pictures. thanks and appreciate your quick response.
1 Reactions
0 Replies
701 Views
Nimependa kupata mawazo kutoka kwenu wanajamii forum kuhusu namna mbalimbali za kuwekeza pesa yaani pesa kutengeneza pesa kwa njia ya riba, kodi, kawio , nakadhalika ndan ya Tanzania. Mfano Mimi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
According to a recent report by the World Bank (WB) titled “Africa’s Cities – Opening Doors to the World”, the total economic value of buildings in Dar es Salaam is estimated at around UDS12...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Kila siku nimekuwa nikiona Wachumi wetu kadhaa wakisema huku wakituonyesha kupitia data kuwa Uchumi wa Tanzania umekuwa lakini nikiangalia maisha halisi ya Mtanzania hayahakisi kile...
0 Reactions
1 Replies
765 Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish EURUSD went downwards last week, tested the support line at 1.0500, and then rallied significantly on Friday. Actually...
0 Reactions
1 Replies
537 Views
Hili ndo swali nililokutana nalo mara tu baada ya kushuka kutoka kwenye mwendokasi "mminyano". Nilishangaa kuona Kariakoo ipo kama jumapili wakati leo ni siku ya kazi. ...' we hebu fikiria mtu...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu, Naomba kujua utaratibu wa kuweka bango barabarani bila kuvunja sheria.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nataka kuanzisha biashara hii ya mafuta ya mawese niwe nayatoa Kigoma mpako mikoani ila sijajua nianzie wapi mwenye idea kuhusu biashara hii anipe mawazo pa kuanzia pia kama kuna mtu atakayehitaji...
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Utengenezaji wa brand umebadilika sana kulinganisha na hali ilivyokuwa zamani,na hii inachangiwa na ukuaji wa teknolojia na ufanyikaji wa dunia kuwa kijiji hivyo hali hii imepelekea hadi mfumo...
5 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau naomba kujua ni utaratibu na vigezo gani nahitaji kufuata ili kuendesha biashara ya fumigation katika kampuni yangu.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Niaje Wadau, Nataka kutoa somo fupi sana. Tanzania tunazo rasilimali nyingi sana na tunamshukuru Mola kwa utajiri huu. Unaweza kufaidika moja kwa moja (direct) au kwa namna nyingine isiyo ya moja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Written by Michael Malakata 15.04.2010 | IDG News Service After several delays, the East African Submarine Cable System (EASSY) project has come closer to completion following the landing...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Wadau, Nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza vyakula vya mifugo mfano pumba, dagaa, damu, mashudu ya alizeti na ya pamba n.k. Nishaurini nianzie wapi, mtaji mzuri ni kiasi gani, na vitu hivi...
1 Reactions
5 Replies
8K Views
Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation wataendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za ijumaa wakuu. Naombeni mnisaidie kujua kama Tanzania kuna online mobile payment gateways, kama ilivo kenya wana Pesapal, jambopay, and ipay (i think). Shukrani sana.
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish This pair went south last week, testing the support line at 1.0500, and then bouncing upwards on Thursday and Friday...
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Africa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Manjano Foundation Mama Shekha Nasser akieleza Matumizi Sahihi ya Vipodozi vya Luv Touch Manjano Kwenye Semina ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…