Heshima kwenu wadau,
Kuna kiasi nimepata hapa, nahitaji kuwekeza katika hizi biashara za Maxmalipo na Selcom, kwa wazoefu tupeane ujuzi ipi ni bora na kamisheni zake ziko vipi.
Karibuni.
Opportunity for all people who are in mining sector, Click the link below to download and fill registration form
Conference: Business Trip of German Mining Industry to Tanzania
Business opportunity : we need Black Clay,10,000 tons. Transportation is on the buyers. if anyone
has please quote price together with pictures.
thanks and appreciate your quick response.
Nimependa kupata mawazo kutoka kwenu wanajamii forum kuhusu namna mbalimbali za kuwekeza pesa yaani pesa kutengeneza pesa kwa njia ya riba, kodi, kawio , nakadhalika ndan ya Tanzania.
Mfano Mimi...
According to a recent report by the World Bank (WB) titled “Africa’s Cities – Opening Doors to the World”, the total economic value of buildings in Dar es Salaam is estimated at around UDS12...
Kila siku nimekuwa nikiona Wachumi wetu kadhaa wakisema huku wakituonyesha kupitia data kuwa Uchumi wa Tanzania umekuwa lakini nikiangalia maisha halisi ya Mtanzania hayahakisi kile...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
EURUSD went downwards last week, tested the support line at 1.0500, and then rallied significantly on Friday. Actually...
Hili ndo swali nililokutana nalo mara tu baada ya kushuka kutoka kwenye mwendokasi "mminyano". Nilishangaa kuona Kariakoo ipo kama jumapili wakati leo ni siku ya kazi. ...' we hebu fikiria mtu...
Nataka kuanzisha biashara hii ya mafuta ya mawese niwe nayatoa Kigoma mpako mikoani ila sijajua nianzie wapi mwenye idea kuhusu biashara hii anipe mawazo pa kuanzia pia kama kuna mtu atakayehitaji...
Utengenezaji wa brand umebadilika sana kulinganisha na hali ilivyokuwa zamani,na hii inachangiwa na ukuaji wa teknolojia na ufanyikaji wa dunia kuwa kijiji hivyo hali hii imepelekea hadi mfumo...
Niaje Wadau,
Nataka kutoa somo fupi sana.
Tanzania tunazo rasilimali nyingi sana na tunamshukuru Mola kwa utajiri huu. Unaweza kufaidika moja kwa moja (direct) au kwa namna nyingine isiyo ya moja...
Written by Michael Malakata
15.04.2010 | IDG News Service
After several delays, the East African Submarine Cable System (EASSY) project has come closer to completion following the landing...
Wadau,
Nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza vyakula vya mifugo mfano pumba, dagaa, damu, mashudu ya alizeti na ya pamba n.k. Nishaurini nianzie wapi, mtaji mzuri ni kiasi gani, na vitu hivi...
Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation wataendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake...
Habari za ijumaa wakuu.
Naombeni mnisaidie kujua kama Tanzania kuna online mobile payment gateways, kama ilivo kenya wana Pesapal, jambopay, and ipay (i think).
Shukrani sana.
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
This pair went south last week, testing the support line at 1.0500, and then bouncing upwards on Thursday and Friday...
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Africa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Manjano Foundation Mama Shekha Nasser akieleza Matumizi Sahihi ya Vipodozi vya Luv Touch Manjano Kwenye Semina ya...