1.Kwa wadau waliopo kyela sasa hivi naomba kujua bei ya SUKARI YA MALAWI kwa kg(iliyo vuka daraja)
2.Kwa wadau walioko SINGIDA na MAKAMBAKO sasa hivi, naomba kujua bei ya mafuta ya alizet...
Mabilioni na mabilioni ya fedha za wananchi zinaibiwa kila siku na wafanyabiashara kwa njia ya Mizani zisizoweza kupima kile kinachotakiwa kupima. Mara zote Mizani yetu inapima pungufu ya kile...
Tangu mwaka 2014 nilikuwa nahangaika jinsi ya kuweka subtitle za kiswahili katika movie za nje kwa sababu nilipokuwa nyumbani na wadogo zangu nilikuwa napata tabu sana kuanza kuwasimulia kila kitu...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bearish
Gold has turned bearish, owing to the protracted bearish movement that occurred in June. Price reached a high of 1295.87 on June 6, and then began to drop...
Ni mawazo yangu tu kuhusu mpango wa Serikali ya Awamu ya Tano ya kujenga uchumi wa viwanda. Tangu mpango huo uanze kumekuwa na hisia na uelewa tofauti katika jamii yetu, kiasi kwamba kuna mikakati...
PIGANA NA UMASKINA NA NJAA KWA KUTUMIA SUPER GRO:
ANGALIZO:
Super gro hutumika sambamba na mbolea pamoja na dawa ya kuua wadudu.
Super gro ni bidhaa maarufu sasa duniani na hasa nchi za Afrika...
Wanajamvi nisaidien kuna mtu ananishawish aniunganishe kweny hii biashara ya mtandao mm mwenyew siielew vizur ila ananiambia unapata mafanikio haraka na malengo yake ni kwaajil ya kupunguza...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
Last week, a bullish breakout in this market put an end to the neutral bias on it, which was in place from June 12 to...
Mimi ninayo hisa 3500 katika CRDB na hisa 3500 ktika NMB. Leo nimepata taarifa kwenye simu ya ngu kuwa nimepata Tshs. 565,000 kama Gawio toka NMB lakini hisa hizo hizo kutoka CRDB nitapata...
Wakuu salaam Nyingi ziwafikie.
Natumai mu wazima wa afya.
Kuna fursa nimeiona huku maeneo yetu ambayo naamini itanisaidia kupata hela ya matumizi madogo madogo ila nakwamishwa na suala la Capital...
Habari JF members.
Naomba msaada kwa yeyote anaefahamu kuhusu soko LA hisa, namna ya ufanyaji kazi na maelezo kuhusu hio. Hata kama kwa uchache nitashukuru. Karibuni sana.
KUNA MDAU AMENIAMBIA KUWA KODI YA MAGARI AMBAYO IMESAMEHEWA NA TRA NI KODI YA MAGARI MAPYA NA SIO YA ZAMANI YAAN WENYE MADENI YAPO PALE PALE
JE WANA JF NAOMBENI KUJUZWA KODI IPI HASWA AMBAYO...
Licha ya uhakiki wa watumish kuendelea kila cku takriban benk nyingi zilisitisha mikopo kwa watumish.
Ninachotaka kuuliza kutoka kwenu Je! Fursa ya mikopo kutoka benk za CRDB na NMB kwa watumishi...
Baada ya bei ya mafuta kusuasua duniani Angola ambayo ni moja ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi Afrika, sasa imeamua kujitika katika kilimo cha ndizi ili kujipatia fedha za kigeni. Tutatazama...
Duh kweli hii nchi inaliwa na wenye nchi katika hali isiyokuwa ya kawaida askari wasio na idadi
walitanda airport nzima bila kujua nini kinaendelea kila ukipita askari na mtutu nikajiuliza mama...