Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Naomba mnisaidie kitaalamu mti wa miaka kumi wa mbao unaweza kutoa mbao ngapi za 1×8 na unakuwa na kipenyo kiasi gani kwa vipimo
0 Reactions
12 Replies
7K Views
1.Kwa wadau waliopo kyela sasa hivi naomba kujua bei ya SUKARI YA MALAWI kwa kg(iliyo vuka daraja) 2.Kwa wadau walioko SINGIDA na MAKAMBAKO sasa hivi, naomba kujua bei ya mafuta ya alizet...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mabilioni na mabilioni ya fedha za wananchi zinaibiwa kila siku na wafanyabiashara kwa njia ya Mizani zisizoweza kupima kile kinachotakiwa kupima. Mara zote Mizani yetu inapima pungufu ya kile...
13 Reactions
39 Replies
9K Views
Tangu mwaka 2014 nilikuwa nahangaika jinsi ya kuweka subtitle za kiswahili katika movie za nje kwa sababu nilipokuwa nyumbani na wadogo zangu nilikuwa napata tabu sana kuanza kuwasimulia kila kitu...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bearish Gold has turned bearish, owing to the protracted bearish movement that occurred in June. Price reached a high of 1295.87 on June 6, and then began to drop...
0 Reactions
2 Replies
633 Views
Ni mawazo yangu tu kuhusu mpango wa Serikali ya Awamu ya Tano ya kujenga uchumi wa viwanda. Tangu mpango huo uanze kumekuwa na hisia na uelewa tofauti katika jamii yetu, kiasi kwamba kuna mikakati...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo nimehangaika kutafuta kwio kwa ajili ya kesho ni balaa kuku anauzwa 15000-20000 heri ya cow meat 6000 Mmmh!
0 Reactions
22 Replies
9K Views
PIGANA NA UMASKINA NA NJAA KWA KUTUMIA SUPER GRO: ANGALIZO: Super gro hutumika sambamba na mbolea pamoja na dawa ya kuua wadudu. Super gro ni bidhaa maarufu sasa duniani na hasa nchi za Afrika...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Wanajamvi nisaidien kuna mtu ananishawish aniunganishe kweny hii biashara ya mtandao mm mwenyew siielew vizur ila ananiambia unapata mafanikio haraka na malengo yake ni kwaajil ya kupunguza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish Last week, a bullish breakout in this market put an end to the neutral bias on it, which was in place from June 12 to...
1 Reactions
3 Replies
517 Views
Ndugu TRA Tusaidie wenye namba tulipie Kodi ya jengo Tigo Pesa or M-Pesa or Max Malipo ili kutupunguzia foleni benki. Ni mawazo tu
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ninayo hisa 3500 katika CRDB na hisa 3500 ktika NMB. Leo nimepata taarifa kwenye simu ya ngu kuwa nimepata Tshs. 565,000 kama Gawio toka NMB lakini hisa hizo hizo kutoka CRDB nitapata...
7 Reactions
42 Replies
9K Views
Mengi ataja Mafisadi kwa majina
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wakuu salaam Nyingi ziwafikie. Natumai mu wazima wa afya. Kuna fursa nimeiona huku maeneo yetu ambayo naamini itanisaidia kupata hela ya matumizi madogo madogo ila nakwamishwa na suala la Capital...
1 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari JF members. Naomba msaada kwa yeyote anaefahamu kuhusu soko LA hisa, namna ya ufanyaji kazi na maelezo kuhusu hio. Hata kama kwa uchache nitashukuru. Karibuni sana.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KUNA MDAU AMENIAMBIA KUWA KODI YA MAGARI AMBAYO IMESAMEHEWA NA TRA NI KODI YA MAGARI MAPYA NA SIO YA ZAMANI YAAN WENYE MADENI YAPO PALE PALE JE WANA JF NAOMBENI KUJUZWA KODI IPI HASWA AMBAYO...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Licha ya uhakiki wa watumish kuendelea kila cku takriban benk nyingi zilisitisha mikopo kwa watumish. Ninachotaka kuuliza kutoka kwenu Je! Fursa ya mikopo kutoka benk za CRDB na NMB kwa watumishi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya bei ya mafuta kusuasua duniani Angola ambayo ni moja ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi Afrika, sasa imeamua kujitika katika kilimo cha ndizi ili kujipatia fedha za kigeni. Tutatazama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Duh kweli hii nchi inaliwa na wenye nchi katika hali isiyokuwa ya kawaida askari wasio na idadi walitanda airport nzima bila kujua nini kinaendelea kila ukipita askari na mtutu nikajiuliza mama...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…