Baada ya bei ya Mafuta kusuasua, Angola waamua kupanda ndizi

rushanju

JF-Expert Member
Nov 3, 2011
3,130
4,620
Baada ya bei ya mafuta kusuasua duniani Angola ambayo ni moja ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi Afrika, sasa imeamua kujitika katika kilimo cha ndizi ili kujipatia fedha za kigeni. Tutatazama kilimo cha ndizi katika eneo la Caxito. Je unadhani kilimo kitaweza kuziba pengo la kipato cha mafuta? ....source BBC.

Maoni yangu...
Kama kwa hali hiyo hapa mafuta bei iko juu kiasi hiki. Je yakipanda sijui hapa kwetu itakuwaje?
 
Kwa maana hiyo thamani ya kilimo ni kubwa sana ila bahati mbaya nchi yetu haijatilia maanani. Mkulima wa Tanzania bado ni kama mtumwa vile
 
Bado na sisi tuna ndoto kuwa wale jamaa watajenga bomba la mafuta
 
Mapato ya mafuta yanachukuliwa na binti wa Rais na marafiki zake..... Mafuta na Gasi yalibadili maisha ya nchi kama Qatar, UAE sisi wafrica tuna matatizo sana.
 
Back
Top Bottom