Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wadau wale wataalamu wa mambo ya uchumi na ujasiriamali naomba kufahamishwa kuhusu Taratibu zinazotakiwa kufuata na kiasi cha mtaji wa fedha unaohitajika ili kuanzisha Microcredit Company hapa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana ndugu wa jukwaa hili la kuelimishana jinsi gani ya kujikwamua kiuchumi,lengo la kuandika uzi huu ni kumpata mtu ambae nitashirikiana nae katika kuiendeleza biashara yangu ambayo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa Watalam wa uchumi Nina pesa mil 5 je ili nisikumbane na makato makubwa niweke kwa bank account au eatel money? Msaada. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kama kichwa kinavyo sema hapo juu Mim ni muhanga wa ajira za serikali. Nataka hamishia makazi yangu Tabora na kujihusisha na biashara ya matunda mchanganyiko hapo tabora Kwa wakazi wa Tabora...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
AUS200 Dominant bias: Neutral In the last two months, this market has not moved in a directional mode. It has been moving only in a zigzag manner since then, in a quite choppy environment. This...
2 Reactions
0 Replies
486 Views
Habari wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza nataka kutumiwa mzigo kutoka sweeden! Tulitaka kutumia DHL ila inasemekana hawa jamaa branch ya bongo siyo waaminifu so, tumekua scared kufanya nao hyo...
1 Reactions
0 Replies
923 Views
Kama mlivosikia kuwa bomba hilo la mafuta litagharimu sh. Trilioni zaidi ya 7 Zabuni za ujenzi zinatazamiwa kutangazwa mwishoni mwa mwaka huu na hivyo ujenzi wa bomba utaanza katikati ya 2018 na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wana jamii forums wote karibuni kiwanda changu kidogo cha kuchapa tshirt, mabango, kofia, banners, tumsapoti magufuli kwa vitendo.. tanzania ya viwanda iko mikononi mwetu
4 Reactions
7 Replies
7K Views
Habari wakuu..!! Kifupi nina shida na uhitaji wa kupata mtaji wa kuendesha biashara yangu (operating capital). Nina kampuni changa ya microcredit activities (utoaji wa huduma za mikopo) ambayo...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wadau, Kuna cement za aina ya rhino na lucky naziona sokoni zikiuzwa kwa 14,000/= na 14,500/= respectively.Je ni nzuri kwa kutumia kutengeneza matofali? Nipeni info kuhusu quality za...
0 Reactions
47 Replies
11K Views
Lets Share; Our Trades, Pips Made, Losses & Profits, Signals, Strategies and Analysis. This is for Experienced Traders and Newbies. CC @tallinex, Davion Delmonte Jr. NB: Naomba Moderators...
6 Reactions
24 Replies
4K Views
Ningeshangaa, uwekeze Tanzania harafu utajiri wako uzidi kupanda, lazima usipojiongeza utaisha hapa ni kazi tu.
8 Reactions
70 Replies
7K Views
“One of the things that amazes me most about trading is that the longer I do it the more I admit that I don’t know. For a very long time I have been convinced that I have no idea where the price...
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Habari wana Jf Nimeonelea kuleta wazo hili linalowahusiana na biashara ya usafirishaji mizigo hasa ya nje za nchi 'Transit Goods' kwenda nchi mbali mbali tuweze kubadilishana mawazo, kusaidiana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii forum.mm ni mtumishi .nlikopa mkopo benk ya posta.sasa nmepata hela ya kuwalipa mkopo wao.lakini.wanagoma kutoa riba.wanataka nlipe yote.naomba mnisaidie ni sawa .au ni ujanja...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mm n mwalimu wa shule ya msingi nilianza kaz 2014 mwaka huo huo nikafanikiwa kukopa mkopo ambao unanitesa kwel mpaka sasa mshahara wangu n mdogo Nina madeni kila kona mpaka kazi naiona gunia LA...
4 Reactions
63 Replies
10K Views
Wadau mwenye kujua hili tafadhali jiji au mkoa wenye mapato makubwa Tanzania ni upi.
1 Reactions
24 Replies
12K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair edged higher last week, reaching the resistance line at 1.1900, before the pullback that is currently being...
3 Reactions
1 Replies
726 Views
Hebu tukokotoe faida itakayopatikana kutokana na malipo ya USD 12.5 kwa pipa itakayolipwa Tanzania kutokana na bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania. Kutokana na maelezo...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom