Kama daladala ya kariakoo_Tegeta inatumia lita 150 kwa siku.....
Na kama serikali imeongeza sh 40 kwa lita kama mbadala wa motor vehicle road license...
Kama dalaladala hiyo ilikuwa ikilipa road license sh 350,000 kwa mwaka...
Ukikokotoa kutumia siku 300 kwa mwaka; daladala hiyo italipa road license sh 1,800,000 badala ya sh 350,000 za sasa... nilishangaa sana makofi ya wabunge ktk hotuba ya bajeti kufurahia kinachoitwa kufuta road license....
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kama serikali imeongeza sh 40 kwa lita kama mbadala wa motor vehicle road license...
Kama dalaladala hiyo ilikuwa ikilipa road license sh 350,000 kwa mwaka...
Ukikokotoa kutumia siku 300 kwa mwaka; daladala hiyo italipa road license sh 1,800,000 badala ya sh 350,000 za sasa... nilishangaa sana makofi ya wabunge ktk hotuba ya bajeti kufurahia kinachoitwa kufuta road license....
Sent using Jamii Forums mobile app