CRDB wamepandisha riba ya junior jumbo; akaunti ya mtoto ni asilimia 4%.
Nafikiri hii ndo benki nzuri ya kumfungulia mwanao junior jumbo, nasikia iyo akaunti haina chaji kabisa withdrawal or...
Hi!
Hope you had very successful 2017.
I hope its your plan to achieve ISO 9001:2015 Certification for your organization in 2018. It is very possible.
Pangolin Quality Consulting Co. Ltd will...
Nina mtaji wa milioni 1. Naomba ushauri kwa anaefahamu kuhusu soko la nguo Uganda. Ukusantaji na namna ya kuingia na kutoka nchini Uganda.
Kiukweli sijawahi enda nchi za nje.
Asante sana
Habari wakuu, naomba mwenye ujuzi na mambo ya fedha anisaidie.
Kuweka fedha benk katika akaunti ya muda maalum(fixed account) au kununua hisa kipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa malengo. Ushauri...
TENGENEZA FAIDA KUBWA KWA KUWEKEZA NA BITCLUB ADVANTAGE*
BITCLUB ADVANTAGE
*IFAHAMU BITCLUB ADVANTAGE*
HII ni kampuni ya kimataifa inayofanya biashara ya ubadilishaji wa fedha dijitali (crypto...
Habari zenu wadau!
Nina kiulizo hapa kwa wale wajuao mambo, pia naamini siwezi kuwa peke yangu nisiyejua, wapo hata wasiojua ninachouliza ni nini, huenda nao wanaweza kujifunza
ikiwa Bitcoin...
Mwishoni mwa mwaka 2017 waziri wa fedha na mipango FILLIP MPANGO alitoa agizo la matumizi ya shilingi ya Tanzania katika huduma na ununuzi wa bidhaa kwa wananchi. Agizo hilo lilitegemewa kuanza...
Mwenye uelewa na hizi biashara za network marketing naomba anipe in and out ya biashara hii maana nimekuwa nasikia watu wengi sana kuwa huwa wanajiunga.
1) Hii mifuko huwa inaukweli wowote kwamba...
napenda kwashirikisha wanajamii hili suala la mikopo kwenye mabenki yetu hapa Tanzania.siku hizi ukienda kuomba mkopo benki utapewa masharti kama tulivyozoea,ila kinachonikera ni tabia hii ya...
Mhe. Charles J. Mwijage (Mb) Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji amekabidhi mradi wa kujenga Industrial Sheds kwa Mkandarasi JKT mkoani Simiyu tarehe 2 Jan, 2018. Mradi huu ni mahususi...
Wakuu salaam,
Kama mada inavyosema nina gari zangu mbili zipo tu hazina shughuli. Moja ni Ti Carina na nyingine ni Spacio new model, sitaki kuwapa madereva wa mtaani maana sitaki usumbufu...
Habari zenu wana jf members,nia yangu jinsi ya kujua mtaji wa kuanzisha biashara ya kusafirisha parcels kutoka sehemu moja kwenda nyingine ambazo inatumia sana piki piki.
Je nataka kujua faida...
Salamu wana jf Kama tunavyoinasibisha Jamiiforums kama shule kwahivyo tumejifunza mengi hususani katika nyanja za biashara na ujasiriamali, nikianza mimi
Nimejifunza vingi ila kimoja wapo ambacho...
Juzi kwenye taarifa ya habari ya Azam niliona maandalizi makubwa ya kuanzisha kiwanda cha sukari pale mto Wami.
Nikiwa mkazi wa Matipwili naona kwangu hiyo ni fursa ya kiuchumi mwaka huuKaribuni...
Salam zenu wakuu,
Naombeni tu nijuzwe maswali kadhaa tu yaliyoniacha njia panda
Nimejaribu kufatilia interview moja kutoka kwa millardAyo kuhusu pesa za tanzania zinavyotengenezwa,aliyekuwa...
Habari zenu wakuu.
Leo nataka nilete ushuhuda kuna kitu nimekifanya na nashukuru kimenilipa tena kwa mara ya kwanza kabisa.
Leo nilienda kkoo kufanya research za biashara nikapiga picha baadhi...
Wadau nimelazimika kuuleta tena huu uzi ili nipate msaada wenu juu ya jinsi ya kuingiza simu used na brand new tokea China na Korea. Nataka kuingiza simu genuine Samsung brand toka Korea na simu...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bullish
Gold dropped massively in the first half of last month, reaching a low of 1236.21 on December 12, 2017. At that juncture, further bearish movement was...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.