Natafuta Mwekezaji Mwenza

Sanjara Honey

Member
Jul 1, 2009
71
32
Nina Mchangamanuo wa Kibiashara ambao umekwisha shinda kumi-bora katika mashindano matatu tofauti ya kitaifa. Japo mtaji unaohitajika si mkubwa, lakini umeshindikana kupatikana kupitia Benki. Hii ni kutokana na taratibu na mlengo/mtazamo wa Benki zetu. Biashara yenyewe ina sifa hizi:


  • Inatoa gawio la 35-40% ya mtaji-wekezwa kwa mwaka

  • Biashara haipungui mwaka mzima na sekta iliyoko Biashara hii mahitaji yanaongezeka kwa kasi mno kuliko watoahuduma/bidhaa waliopo na wanaojiunga

  • Haimhitaji mwekezaji/promoter kutumia muda mwingi katika kuisimamia

  • Ni nzuri sana kwa watu wa rika zote lakini hasa vijana wenye uwezo wa kati na wazee wanaostaafu au waliostaafu
Zaidi ya sifa hizi pia

  • Inatoa ajira kwa watanzania wenzetu

  • Inaongeza pato la wajasiriamali wengine nje ya mwekezaji/Promoter na nchi kwa ujumla
Mwekezaji mwenza atashikiri katika Biashara kama Mkurugenzi (Director). Ni hiari yake pia kuamua kama atataka kuwemo katika safu ya Utawala (Management).
Kama uko tayari kukutana na Mvumishaji (Business Promoter) wa Mchangamanuo huu, tuwasiliane kupitia:

sanjarahoneytz@gmail.com

ANGALIZO: Ni wale tu walio na nia ya dhati kuwekeza ndo wanaalikwa kuwasiliana kupitia email hapo juu.
 
Nina Mchangamanuo wa Kibiashara ambao umekwisha shinda kumi-bora katika mashindano matatu tofauti ya kitaifa. Japo mtaji unaohitajika si mkubwa, lakini umeshindikana kupatikana kupitia Benki. Hii ni kutokana na taratibu na mlengo/mtazamo wa Benki zetu. Biashara yenyewe ina sifa hizi:


  • Inatoa gawio la 35-40% ya mtaji-wekezwa kwa mwaka

  • Biashara haipungui mwaka mzima na sekta iliyoko Biashara hii mahitaji yanaongezeka kwa kasi mno kuliko watoahuduma/bidhaa waliopo na wanaojiunga

  • Haimhitaji mwekezaji/promoter kutumia muda mwingi katika kuisimamia

  • Ni nzuri sana kwa watu wa rika zote lakini hasa vijana wenye uwezo wa kati na wazee wanaostaafu au waliostaafu
Zaidi ya sifa hizi pia

  • Inatoa ajira kwa watanzania wenzetu

  • Inaongeza pato la wajasiriamali wengine nje ya mwekezaji/Promoter na nchi kwa ujumla
Mwekezaji mwenza atashikiri katika Biashara kama Mkurugenzi (Director). Ni hiari yake pia kuamua kama atataka kuwemo katika safu ya Utawala (Management).
Kama uko tayari kukutana na Mvumishaji (Business Promoter) wa Mchangamanuo huu, tuwasiliane kupitia:

sanjarahoneytz@gmail.com

ANGALIZO: Ni wale tu walio na nia ya dhati kuwekeza ndo wanaalikwa kuwasiliana kupitia email hapo juu.
 
Maelezo yako hayajitoshelezi.

Eleza mambo ya msing kama.
1. Nature ya Project.
2. Area of operation
3. Stage ya project.
4. Finance needed.
5. Financial projections.
6. Duration of the Project.
 
Uzi una miaka 8. Toka 2009 natamani aje atupe mrejesho manaake sahiz inapaswa biashara hii iwe ishakomaa
 
Back
Top Bottom