Ukosefu wa ajira ni faida kwa wajasiriamali

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
Mzungu aliwahi kusema "scarcity is expensive: uhaba wa kitu unaongeza thamani, Ndivyo ilivyo katika soko la ajira, Hapo zamani uhaba wa watu wenye degree uliwapa soko kubwa na walilipwa vizuri na ajira ilikuwa sio tatizo kabisa. Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la watu wenye degree kiasi kwamba huo wingi wa digrii umepunguza thamani ya soko la ajira kwa watu wenye degree.

Baadhi ya wajasiriamali wanatumia mwanya huu kupunnguza gharama za uendeshaji wa biashara kwenye kitemgo cha mishahara kwa kuwalipa wafanyakazi wao mshahara kidogo sana kwa sababu wanajua tayari soko la ajira limekuwa gumu kiasi kwamba wapo wanaojitolea bure na endapo wafanyakazi wao wataleta viburi wala hakuna shida kwa sababu kuna lundo la wahitimu ambao ukitangaza ajira leo basi haipiti hata siku kupata lundo la wahitimu wataongombania nafasi za kazi zinazotangazwa.
 
Nadhani kupunguza kwao mishahara kunatokana pia na consumer kuwa wachache.
Naamini sekta binafsi zitatikisika sana 7b lazima zitazalisha kidogo kwendana na mahitaji sokoni
 
P
Jiunge bure na ajira hii ya mtandaoni upate pesa bila mtaji.

1.Ajira hii haihitaji kipato wala elimu ina hitaji muda na kifurushi cha intanet tu
2.Ukijisajili ili uweze kutoa pesa itakubidi ufikishe dola 150$ na referrals 40 kwa Mara ya kwanza,usijaribu kutoa kama hujatimiza vigezo hivyo,Ila ukisha toa kwa Mara ya kwanza baada ya hapo zitatoka kila unapo fikisha 10$ na kuendelea

3.Malipo yana fanyika kwenye account ya benki yoyote hapa nchini kwetuau West Union.

Ku pata dola 150$ ni rahisi itakuchukua saa moja na nusu kwa kufanya kazi bila kusimama.

Kazi yenyewe niku andika namba zinazoonekana na kutuma basi
Boyeza linki
Viewing payed advertising sites vbmoney.site - Welcome!
Washilikisha na wenzako wajiunge kupitia link yako kwa kufanya hivyo utalipwa 50% ya kiasi anacholipwa

 
Back
Top Bottom