Msinitoe povu Jamani ujumbe huu unamakosa ya kiuandishi Ila lengo La uzii huu nidhahiri umeeleweka ingawa kuna baadhi ya makosa mawazo yenye muhimu Sana nayangojaWakuu
Nafrkri mko Poa kwa wenye matatizo polen. Naomba tupeane ujuzihapa nibiashara gani ambayo naweza toa Uganda nikaleta Tz ikanipa Faida hasa solo lake Liwe ktk mkoa wa mwanza Na wilaya zake.
Dada chukua nguo Leta Tz na Uganda upeleke mchele hakika hutajutaMsinitoe povu Jamani ujumbe huu unamakosa ya kiuandishi Ila lengo La uzii huu nidhahiri umeeleweka ingawa kuna baadhi ya makosa mawazo yenye muhimu Sana nayangoja
Utaenda kwa faida na utarudi kwa faidaDada chukua nguo Leta Tz na Uganda upeleke mchele hakika hutajuta
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Michele mzee wa makinikia sidhani karuhusu kutoa njeDada chukua nguo Leta Tz na Uganda upeleke mchele hakika hutajuta
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Nimefanya hii kwa miaka mitatu na ikanilipaMsinitoe povu Jamani ujumbe huu unamakosa ya kiuandishi Ila lengo La uzii huu nidhahiri umeeleweka ingawa kuna baadhi ya makosa mawazo yenye muhimu Sana nayangoja
Dada chukua nguo Leta Tz na Uganda upeleke mchele hakika hutajuta
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app