Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Natumaini mko buheri wa afya kabisa. Kila wakati nikiwa naangalia taarifa ya bahari ya ITV huwa naona taarifa ya mifuko ya UTT AMIS na nimekuwa sielewi kwa hakika ni nini hasa. Mwenye maelezo ya...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Ni mteja wa miaka zaidi ya mitatu wa Vodacom na nimetumia hela yangu nyingi sana kwenye huduma zao hadi nimekuwa mteja wa thamani. Nimekuwa nakopa na kulipa kwa wakati (isipokuwa mara moja tu...
2 Reactions
31 Replies
11K Views
Habari za asubuhi wana Jf.Jana usiku nilishirikishwa kikao cha familia ya Mzee mmoja mstaafu mwalimu wa shule ya msingi wilaya ya Muheza Tanga. Huyu mzee ni msambaa amepata milioni 77 ana watoto...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Heri ya Mwaka!! Kutokana na hili wimbi la serikali kufungia mabenk kweli nimepata shaka kuhusu uhifadhi na akiba ya masalio yetu. Je,ni namna gani naweza kuweka hela zangu benk za nje? Siku...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni imani yangu kuwa jukwaa hili ina wazoefu katika kila kipengele fulani cha biashara. Naomba kushauriwa nataka kuanzisha biashara ya; 1. Mashine ya kukamua alizeti- nataka nifugue Dodoma...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
kwa yoyote anayetaka kufunguwa biashara ya fitness center yani gym mtwara mjini naomba anicheki tuangalie jinsi ya kuchangamkia fursa hii aliyetayari anicheki
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani humu kwema. Wadau kwetu kuna njaa sana hasa miezi ya February, March na April. Ni miezi ambayo kwa kweli kunakuwa na shida kubwa sana ya chakula. Watu wanajinusuru kwa kununua mihogo kwa...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Daa nawaza tu hivi hawa jamaa siku hawawezi kuamua tu kila mtz aingiziwe M5 salio la pesa. Siku hiyo sijui itakuwaje karibuni wachumi
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Siku chache zilizipita , BOT imezifungia benki tano na kuziweka chini ya uangalizi benki nyingine tatu ambazo ni Kilimanjaro corperative Bank, Tanzania Women's Bank and Tandahimba Community Bank...
4 Reactions
43 Replies
7K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish The market essentially consolidated throughout last week – in the context of an uptrend. Although price did not go...
1 Reactions
1 Replies
542 Views
Hello wapendwa, nilikua nauliza maswali gani unatakiwa ujiulize binafsi kabla ya kuanzisha biashara....?? naenda kumuona business advisor,ila ningependa baada ya kupata ushauri wake nimuulize...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Nina eneo kubwa zuri tu lipo barabarani. katika kiwanj a kuna maji pia umeme Ktk utafiti wangu nimeona ktk eneo lote linalohusisha kata kama 3 hivi au zaidi hakuna NURSERY SCHOOL kabisaa . na...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Editorial correction to the Directors Report for year ended 30th June 2017. Paragraph 13: Results and dividends on page 13 of the Report of the Controller and Auditor General on the Reports and...
2 Reactions
45 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu Mimi ni mjasiriamali lakini kwa sasa nina wazo jipya la kufanya Foreign Exchange(Forex) lakini kwa uchunguzi wangu nilioufanya siwezi kupata faida kama nitanunua bureau na...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wana bodi, Mimi ni mstaafu wa umma, katika maisha yangu nimekuwa na ndoto ya kuanzisha kampuni ya kuhuisha taka chafu na kwa sasa naona nina muda wa kutosha sasa kusimamia shughuli zangu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu Naomboni ushauri juu ya kuanzisha biashara ya tiba mbadala Capital yake changamoto na vigezo vinanyotakiwa na serikali Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MAGARI ya kifahari yaliyokwama kwa muda mrefu Bandari ya Dar es Salaam kutokana na waagizaji kushindwa kulipa kodi mbalimbali kwa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), yameanza kupigwa mnada huku kukiwa...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wana bodi. Nafikiri kila mmoja amesoma na kusikia taarifa ya BOT baada ya kufungia benki 5 kwa kushindwa kufikia mtaji wa Bilioni 2 kulingana na sheria zao. Kilichoshangaza wengi ni kuwa wateja...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
PDF Reports of The 47th World Economic Forum Annual Meeting Based On Travel and Competitiveness Index, Held on 17 - 20 January 2017 in Davos-Klosters, Switzerland (The 48th World Economic Forum...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom