Ni habari za kusikitisha lakini lazima tuzisikie na kujua jinsi ya kutatua matatizo yetu.
Kulingan na The Guardian gazeti la leo 2/10/2017, mauzo ya bidhaa za viwanda vyetu kwenda nje ya nchi...
Nimefuatilia mazungumzo ya RC Dar kuhusu kuwataka wauza magari kuhamia Kigamboni eneo la Kibada kwa maelezo kuwa wanapatiwa viwanja bure.
Hiyo itakuwa ni hatua nzuri ukizingatia ameahidi mbele...
D9 CLUB NI KAMPUNI YENYE WATAALAMU WA KUNUNUA NA KUUZA HISA HASWA ZA MICHEZO (SPORTS TRADING)
SPORTS TRADING ni biashara ya kuuza na kununua hisa za michezo kimataifa ambapo mwanachama anapata...
Sisi vijana mara nyingi tunapoanza pirika za kutafuta maisha hujikuta tunaingia katika biashara kutokana na msukumo au uhamasishaji wa marafiki ,jamaa ama ndugu zetu ambao wametangulia katika...
Habari za leo wakuu! Maxmalipo wameanzisha application yao inayoitwa Smartmalipo application ambayo unaweza ku-install na kufanya registration kuwa wakala wa maxmalipo kupitia hiyo application ya...
Habari wadau nimejiuliza sana hivi shilingi 5,10 na 20 kupotea mataan nina weza kusema nina miaka kama mitatu sijaziona hela hizo na sijaona tangazo la serikali au BOT kuziondoa kwenye matumizi...
Khabari wadau... Swali langu ni fupi .. je kuna usajili katika kuanzisha biashara ya min restaurant ya chakula.. kama chips.. wali.. n.k..kama ipo njia ni zipi na certificates za usajili ni zipi...
Habari wandugu
napenda kuanza nianze kuongelea uchumi wa Tanzania kwa sasa.ripoti mbalimbali zilionesha ukuaji mzuri wa uchumi wa nchi yetu na BOT pamoja na Mh polepole kusifia ukuaji wa uchumi...
Kama una shamba heka.1 na lina.miundo mbinu kama maji na hata umeme na still wewe ni wa kutumwa basi una tatizo kichwani mwako.
How come una shamba lina maji ya uhakika na sio ya kuunga uunga na...
Kama mtaalamu mdogo sana katika maswala ya uchumi kuna vitu nilikuwa navingojea ili niweze kutoa mtazamo wangu na nilikuwa nafuatilia kidogo kwa mbali nikawa napata feedback kuanzia mwezi wa tisa...
It worth sharing the following SAYING of the Late Dr Myles Munroe; a man of wisdom. He was quoted as saying:
I was born poor, sleeping on the floor with cockroaches and rats. Today, I own my own...
Helloo wa ndugu kati ya watu wabishi na mimi nimo lakini kuinvest kwenye biashara hii kweli nilijitoa mhanga na saivi nitakuwa nina uhakika wa kulaza zaidi ya sh 70000 kama faida per day kwa...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bearish
Early in September, Gold went upwards to reach a high of 1357.14 on September 8. Since then, Gold has lost at least, 8,200 pips, creating a huge Bearish...
Habari wakuu!
Baada ya kutoa training dar kuhusu forex , TMT (The Million Team) chini ya usimamizi wa boss ONTARIO sasa ipo mbioni kuanza kutoa mafunzo hayo kwa wale watu wa mikoani ,, mafunzo...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
The market lost about 200 pips last week, went briefly below the support line at 1.1750 and then went above it, to close...
Habarini wanajukwaa?
kwa wale wakatoliki hii itatugusa zaidi.
Ni ukweli usiopingika kwamba hii radio station inayoitwa Radio Maria inafanya kazi kubwa kuinjilisha kwa njia mbali mbali kama...
Tulimtukana sana Mwijage kuhusu kauli yake ya kuhamasisha kuwa kiwanda ni hata pale unapokuwa na vyerehani vinne.
Katika pitapita yangu kwenye mtandao nimekutana na kampuni au kiwanda kilichoanza...
Habari Wanajukwaa:
Kwa Wale Wadogo Zangu Mliochaguliwa Vyuo Vya Afya Hasa Diploma ( Clinical Medicine, Pharmacy & Nursing)
Kuna Hii Biashara Ya Vifaa Vya Hospital Vya Mwanafunzi ( Vital Sign...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.