baunsa nyoka
Member
- Apr 16, 2015
- 19
- 0
wana body
kuna taasisi moja inajiita kwa jina la STEP UP LOANS kwa maelezo inajihusisha na kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadgo online tena ndani ya dk45... ila vigezo lazima uweke akiba ndo wakupe mkopo. kwa mfano ukiweka 100,000. wanakupa 1,000,000. yan akiba yako wanaizidisha 10x.....wana body mwenye uelewa na hii taasisi naomba anieleweshe nicje ingia cha kike.....
kuna taasisi moja inajiita kwa jina la STEP UP LOANS kwa maelezo inajihusisha na kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadgo online tena ndani ya dk45... ila vigezo lazima uweke akiba ndo wakupe mkopo. kwa mfano ukiweka 100,000. wanakupa 1,000,000. yan akiba yako wanaizidisha 10x.....wana body mwenye uelewa na hii taasisi naomba anieleweshe nicje ingia cha kike.....