Mahindi ndo zao kuu la chakula, na ni zao la Kisiasa.
Ni zao la kisiasa kwa sababu Serikali lazima ilinde bei.
Chakula kinatajwa kama moja ya Siraha za Mangamizi au Mapinduzi.Hivyo nchi nyingi...
Karibuni tushare issues mbalimbali zinazohusiana na fidia hasa wakati Serikali inahitaji eneo lako kwa ajili ya manufaa ya Umma
Unaweza kupakua hicho kitabu
YALIYOMO
Sehemu ya Kwanza...
It's real boaring kwa SUMATRA wa Dar yani daladali zinajipangia nauli tu ovyo ovyo na wako kimya mfano mdogo ni;
Makumbusho Gongolamboto.
Gongolamboto Mawasiliano
Gongolamboto Kariakoo...
Wakuu nina milionji 8.
Nipeni ushauri kwa Dar,
Kati ya biashara ya usafiri wa:-
-Suzurki Carry
-Bajaji
-Taxi
-Bodaboda
Na je hesabu yake kwa siku ipoje.
Stay Blessed
Wajasiriamali na wafanyabiashara wanatakiwa kujifunza ili kufanya shughuli zao kwa weledi unaohitajika katika kila hatua.
Bahati mbaya sana kuanzisha biashara kumeonekana kana kwamba hakuhitaji...
Orodha/list ya makampuni Tanzania. ina taarifa Zifuatazo :-
1. Jina la taasisi.
2. Jina la muhusika
3. Anuani ya posta.
4. Namba ya simu.
5. Namba ya nukushi.
6. Barua pepe
7. Tovuti.
7...
Hakuna kulemba, ngoja nende kwenye point directly.
Ni wangapi kati yetu tunaofaamu kiasi cha pesa tunacholipa kwa ajili ya manunuzi ya gase ya matumizi ya nyumbani kinaendana na ujazo halisi...
Siku za karibuni kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu kuibiwa au kupotea kwa punda. Watu wengi wakawa wanajiuliza hawa Punda wanapelekwa wapi na wanatumika kufanyia nini?
Ngozi ya pumba ni...
FAIDA ZA KUMILIKI HISA ZA VODACOM
Ukitaka kununua hisa lazima ujiulize maswali ambayo utaweza kuridhika kwa kiwango cha kutosha kununua Hisa za Vodacom ni rahisi kwani kampuni yenye huduma...
Habari zenu wadau wa hii forum.
napenda kuuliza,katika tafuta yangu mitandaoni kuhusu data za hizi kampuni 4 (CARGILLS,BUNGE,LOUIS DREYFUS na ARCHER DANIELS MIDLAND)
Je wamefanya investment katika...
Hisa za Vodacom ....Vodacom yashindwa kufikia nusu ya lengo la mauzo ya hisa, kuomba iwauzie wasio watanzania..
Nani mwekezaji kutoka nje atataka kuleta fedha zake kuwekeza kwa nchi inayoongozwa...
Swali hapo juu linahusika wakuu.wapi nnaweza kupata hizi mashine hapa tanzania? nakusudia kuanza hii kazi, lakini nashindwa kuelewa wapi nnaweza kuzipata hapa nchini kama zipo.
Natanguliza...
Kichwa cha Habari kinajieleza kama wewe ni mbobezi wa uchumi lete hoja hapa ili wachumi wenziyo wadadavue pia Serikali ina masikio mkubwa inaweza kutoa hapa kitu cha kusaidia Taifa.
Angalizo...
*Habari wakuu,
Tunatafuta business partner(s) atakayeweza kutoa/kuwekeza angalau 2-2.5 million katika project ya mkaa*
*Raw materials za kuzalisha mkaa huu ni takataka aina zote kasoro...
Kutokana na umaskini imefikia hatua ukitaka Mtanzania akuskilize na kufata yako mueleze iko fursa ya kupata/kuvuna hela kwa mafankio makubwa sehemu fulani yani kwenye biashara nk.
Mueleze kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.