Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Mahindi ndo zao kuu la chakula, na ni zao la Kisiasa. Ni zao la kisiasa kwa sababu Serikali lazima ilinde bei. Chakula kinatajwa kama moja ya Siraha za Mangamizi au Mapinduzi.Hivyo nchi nyingi...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau samahani naombeni mnisaidie kampuni kuwa limited inatakiwa iwe na nn Na tofauti kati ya kampuni ambayo ni limited na kampuni ambayo sio limited
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Karibuni tushare issues mbalimbali zinazohusiana na fidia hasa wakati Serikali inahitaji eneo lako kwa ajili ya manufaa ya Umma Unaweza kupakua hicho kitabu YALIYOMO Sehemu ya Kwanza...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Design mbalimbali kwa bei ya jumla Na reja reja #watsup 0754 940 547
0 Reactions
0 Replies
4K Views
It's real boaring kwa SUMATRA wa Dar yani daladali zinajipangia nauli tu ovyo ovyo na wako kimya mfano mdogo ni; Makumbusho Gongolamboto. Gongolamboto Mawasiliano Gongolamboto Kariakoo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu nina milionji 8. Nipeni ushauri kwa Dar, Kati ya biashara ya usafiri wa:- -Suzurki Carry -Bajaji -Taxi -Bodaboda Na je hesabu yake kwa siku ipoje. Stay Blessed
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Wajasiriamali na wafanyabiashara wanatakiwa kujifunza ili kufanya shughuli zao kwa weledi unaohitajika katika kila hatua. Bahati mbaya sana kuanzisha biashara kumeonekana kana kwamba hakuhitaji...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Orodha/list ya makampuni Tanzania. ina taarifa Zifuatazo :- 1. Jina la taasisi. 2. Jina la muhusika 3. Anuani ya posta. 4. Namba ya simu. 5. Namba ya nukushi. 6. Barua pepe 7. Tovuti. 7...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Hakuna kulemba, ngoja nende kwenye point directly. Ni wangapi kati yetu tunaofaamu kiasi cha pesa tunacholipa kwa ajili ya manunuzi ya gase ya matumizi ya nyumbani kinaendana na ujazo halisi...
17 Reactions
63 Replies
12K Views
Je biashara ya Massage tz ni kweli ina kwa mishwa na wasio kuwa na taaluma ya Massage??
1 Reactions
6 Replies
8K Views
Siku za karibuni kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu kuibiwa au kupotea kwa punda. Watu wengi wakawa wanajiuliza hawa Punda wanapelekwa wapi na wanatumika kufanyia nini? Ngozi ya pumba ni...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
FAIDA ZA KUMILIKI HISA ZA VODACOM Ukitaka kununua hisa lazima ujiulize maswali ambayo utaweza kuridhika kwa kiwango cha kutosha kununua Hisa za Vodacom ni rahisi kwani kampuni yenye huduma...
1 Reactions
68 Replies
24K Views
Habari zenu wadau wa hii forum. napenda kuuliza,katika tafuta yangu mitandaoni kuhusu data za hizi kampuni 4 (CARGILLS,BUNGE,LOUIS DREYFUS na ARCHER DANIELS MIDLAND) Je wamefanya investment katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hisa za Vodacom ....Vodacom yashindwa kufikia nusu ya lengo la mauzo ya hisa, kuomba iwauzie wasio watanzania.. Nani mwekezaji kutoka nje atataka kuleta fedha zake kuwekeza kwa nchi inayoongozwa...
8 Reactions
136 Replies
65K Views
Wakuu, Naomba mwenye soft copy ya document tajwa hapo juu anisaidie watsap namba 0658231393
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Swali hapo juu linahusika wakuu.wapi nnaweza kupata hizi mashine hapa tanzania? nakusudia kuanza hii kazi, lakini nashindwa kuelewa wapi nnaweza kuzipata hapa nchini kama zipo. Natanguliza...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kichwa cha Habari kinajieleza kama wewe ni mbobezi wa uchumi lete hoja hapa ili wachumi wenziyo wadadavue pia Serikali ina masikio mkubwa inaweza kutoa hapa kitu cha kusaidia Taifa. Angalizo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
*Habari wakuu, Tunatafuta business partner(s) atakayeweza kutoa/kuwekeza angalau 2-2.5 million katika project ya mkaa* *Raw materials za kuzalisha mkaa huu ni takataka aina zote kasoro...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Kutokana na umaskini imefikia hatua ukitaka Mtanzania akuskilize na kufata yako mueleze iko fursa ya kupata/kuvuna hela kwa mafankio makubwa sehemu fulani yani kwenye biashara nk. Mueleze kile...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom