Habari Wadau naombeni nisaidiwe kujua accounting package ipi ni bora kwa SME ili niweze kufanya maamuzi sahihi kuinunua!!
Naweza kujua makampuni yanayouza hizo software hapa tanzania? Market share...
Wakuu
Nina hisa zangu za NMB nilinunua 2008 ,sasa najaribu kuziuza sababu na shida ya pesa ila sasa ni mwezi wa pili haziuziki.
Nawaza hakuna taasisi yoyote ya kifedha inayoweza kutoa mkopo na...
Uwekezaji Bora kwa Miti ya Mipaina/Pines na Milingoti/Eucalyptus.
Uwekezaji wa kupanda miti unachukua muda mrefu kidogo ukilinganisha na mazao mengine ya nafaka hivyo toka muda wa kupanda inaweza...
Habarini ndugu zangu wana JF Mimi niko Dar es salaam na ninataka kufanya Biashara kutoka Zanzibar na kwa utafiti nimegundua Biashara ya electronics kutoka Zanzibar ni rahisi ila sijui ni...
Wanajamvi,
Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala (Uganda) nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa ni wafanyabiashara wa Ki-Tz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya...
Kumekuwa na makundi tofauti tofauti katika whatsapp yanayoibuka Ili kumvutia mtu awekeze pesa ili wajanja wazipige kwa kisingizio cha kutrade ili upewe mpaka 70%ya mtaji wako in 4days only...
*_TO BECOME SUCCESSFUL YOU NEED TO DO THE FOLLOWING :_*
● *_BELIEVE_* [emoji117] while others are doubting.
● *_PLAN_* [emoji117] while others are playing.
● *_STUDY_* [emoji117] while others...
Ninawasalimu kwa jina la Tanzania ya amani ndugu zangu walipa kodi,wafanya biashara,wanauchumi na wajasiriamali.
Ni halali na wajibu wa kila mtanzania kulipa kodi kwa kila pato analoliingizaa...
Habari zenu wakuu,
Kuna mzigo nahitaji kusafirisha South Africa, nilikuwa naomba kuuliza kama kuna basi ambalo linafanya safari za Zimbabwe au nchi nyingine jirani na SA kisha mzigo ukifika...
Popular California Based E-Commerce Website StatesDuka Makes Its Debut in Kenya & East African Market
USA to Kenya, Tanzania & East Africa Online Shopping and Shipping for $15 per KG by Air...
TBL Batch yenu ya tarehe 21 September, 2017 kwenye saa 4.13 hivi ina bia yenye ladha ya Apple nhisi ni Reds. Mnatuharibia kwakweli, hii ni bia ya Tatu wiki hii naikuta.
Kakagueni niko Mbezi...
Maisha ya mafanikio na uhuru wa fedha ni jambo linalotafutwa na kila mmoja wetu, lakini ni wachache mno huwa wanafanikiwa. Hii ni kwa sababu kuna wanaotaka na wanaotamani mafanikio na uhuru wa...
Kwa wahusika 20/10/2017 ni deadline na mliniandikia barua kuanza KULIPA Mwezi September Online.
Nipo online tangia asubuhi kwenye TAX RETURN ELECTRONIC FILING SYSTEM Usajili is complete tangia...
Wajuvi,
Niko na shida naomba kuuliza njia gani naweza tumia kurekodi mauzo na manunuzi ya vitu kwenye biashara (duka). Ili niweze kujua nimepata faida au hasara kubwa or ndogo.
Natumai mko salama,
Dhumuni la Uzi huu ni kuwaomba wadau wote wenye Uzoefu na Usafirishaji wa Bidhaa mbali mbali kwenda Kuuza Nje ya Nchi, Haswa Bidhaa za Vyakula na Matunda.
Ningependa Kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.