Jaman habari zenu, samahan je kuna ukweli kwamba kuna pesa za kijeluman mfano lupiah zinatafutwa? na kama kwel ni nan anae nunua natanguliza shukran zenu, matus sio uungwana
Dsk
Moja ya makosa makubwa tunayo fanya ni ku quit biashara.
How come umehangaika labda ulikuwa hulali, ulikuwa unashinda njaa kisa biashara yako.
Kuna wakati hata muda wa kusalimia ndugu hukuwa...
Moja ya ishara ya wewe kuelekea pabaya ni kuongezeka idadi ya marafiki ambao wanamawazo mabovu, hawana maono, hawajali kuhusu jamii,hawaheshimu wazazi au hawapendi kujifunza mambo ya kuwajenga ...
Watu wengi wanashindwa kuwa na ufanisi kwasababu ya matumizi mabaya ya muda. Hata hivyo kila binadamu ana masaa 24, siku 7 kila wiki na miezi 12 kwa mwaka. Tafiti za matumizi ya muda zinaonyesha...
Jana naingia super market(cape town) naona unga wa ngano azam.
Watu wa rangi zote wananunua.
Nakumbuka nikiwa mdogo azamu inapoanziswa chumba kimoja pale Kariakoo leo tuna mtu ambaye hana...
Nsemwa Company Limited, located at Tegeta DSM offers the following services at very competitive prices;
ENVIRONMENTAL PROJECTS:
Environmental Impact Assessment
Water Resource Modelling
Waste...
Wakuu Leo na Mimi ngoja niongee kidogo.
Umaskini ni kitu kibaya sana duniani.Umaskini unasababisha kumkufuru mwenyezi mungu mara kwa mara,hata kwenye vitabu vya mungu umaskini umepigwa vita...
Bei ya vitunguu swaumu-Kariakoo
Habari zenu Wakuu.
Nahitaji msaada wenu juu ya bei ya sasa ya kulangulisha vitunguu swaumu sokoni Kariakoo kwa kilo moja.
Au kama kuna mdau ana namba ya simu ya...
Vp washikaji?
Mimi nipo Dar na ningeomba kujuzwa maeneo gani mtu anaweza kununua dhahabu katika small scale. Mimi ni mwajiriwa wa kamouni flani ila nataka kuimarisha financial position yangu, kwa...
Habari wakuu! Mimi Ni mmoja Kati ya watu wanaouza kazi zangu Ulaya, Australia Na America online, naumizwa Sana Na kutotambulika kwa PayPal hapa Tanzania, inapelekea Mara nyingi kutumia Western...
Wasalaam wapendwa, husika na kichwa cha habari, naomba yeyote mwenye nia ya kunisaidia mkopo wa kiasi hicho anisaidie dhamana ni simu smartphone, na vitambulisho vyangu pamoja na vyeti. Napatikana...
Naombeni kujuzwa ndungu wana jf kama kuna uwezekamo mtu wa saudi arabia kutuma hela mpesa tz au kama kuna njia nyingine nzuri ya kupokea hela kwenye kutoka saudi naombeni kujuzwa juu ya hilo
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
The pair has been going southward since September 25, having lost about 200 pips. Price moved briefly below the support...
Tunatoa huduma ya outside catering kwenye harusi, kitchen party,birthday,semina,Graduation nk. Sahani moja ni 15000 hadi 18000 unapata startet ambapo kunakuwa na soup,main course kuku wa...
Habari wakuu,
Juzi familia yangu tumebahatika kununua gari aina ya noah ilikuwa inamilikiwa kama private kibao cha njano, lakini sasa tumeibadiri umiliki na sasa ipo cormecial kwaajili ya...
Nikiwa Director wa registered CBO iitwayo lifelong learning community based organisation
yenye ofisi mkoa wa Dodoma wilaya ya Dodoma mjini,,, Inajihusisha uhamasishaji wa masuala mbalimbali ya...
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk Benard Kibese ametoa ufafanuzi juu ya hali ya ukuaji wa uchumi wa Taifa unaodaiwa kutoakisi hali ya maisha akieleza kuwa unakua kutokana na...
Natafuta mfadhili/ mhisani au mwekezaji.
Mimi nikiwa kama Director wa registered CBO iitwayo lifelong learning community based organisation yenye ofisi Dodoma mjini tunahitaji mhisani/mfadhili au...
Napenda kuwasalimu wana JF wenzangu habari za weekend na pia poleni sana kwa uchovu wa pilika pilika za wiki nzima.
Bila kupoteza muda naomba nije moja kwa moja kwenye mada;
Leo naomba...
if you are unhappy with your salary, you are in the wrong job. Look elsewhere, preferably follow your dream if you have any: MWATHAI
Muguku started with two hens and a cock to supply eggs for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.