myShop Software ni mfumo maalumu kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa duka la jumla na rejareja, pharmacy, mini supermarket, saloon za kike na kiume, stationary, maduka ya nguo na viatu na maduka...
Nawasalimu wote
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Week iliyopita nilimsikia waziri mkuu wa tanzania akieleza nia yake ya dhati katika kuboresha zao la kahawa na kuakikisha...
Kampuni ya diamond traders yaliza watu ni ile inayofanana na DECI tahadharini wanajamvi wenzangu kuna makundi yenye no za uwakala yamezuka yanayofanya investment kwa njia ya mpesa na tigopesa...
embu tuongee ukweli,
hivi hao mnaowapelekea training ya forex trading ni watu gani??
mie nahisi mna prey kwa watu wasio na kazi,
wengine hata basic computer skills hawana ,
mnawapelekea...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
The market was bearish from Monday to Wednesday, and then began to make some bullish effort, which eventually paid for...
Natafuta vijana 200 ambao tutaunda group la Whatsapp kwa commitment ya kuchangia kwa kutuma moja kwa moja kwenye benki husika sh. 50,000 mpaka 84,000 kila mwisho wa mwezi ambazo zitawekwa kwenye...
Habarini za Asubuhi ndugu wote.
Mwenzenu mimi ni Dereva mzoefu wa magari toka mwaka 1996.
Nimekua taxi mani kwa kipindi kirefu sana na mwaka 2009 niliamua kutafuta ajira katika mashirika na...
NICO WALITANGANZA KUTOA GAWIO KWA WAWNAHISA KWA MARA YA KWANZA BAADA YA MIAKA 12. KWA KUWA MDA UMEPITA SANA BASI TOENI NAFASI YA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KAMA ACCOUNTS, SIMU ZAO ANUANI MPYA, NA...
Kama unataka kutoka bila kutumia nguvu nyingi sana basi fanya hii biashara. Yani biashara ya kuandaa events kama za harusi za mtaani, maulidi, kipaimara, vigodoro, misiba nk.
Unachotakiwa ni kuwa...
Habari za jioni wakuu na wajasiriamali wa jukwaa hili la Biashara,uchumi na ujasiriamali!
Awali ya yote nimepata tenda Fulani ya kupeleka chakula mgodi Fulani ambapo nimeambiwa kama niko tayari...
Hivi mabenki yanavyofungwa na kufilisika,hii ina tafsiri gani katika uchumi wetu???? Kuna uhusiano gani kati ya uchumi wa nchi na mabenki kufilisika????
Naomba admin usiifute huu Uzi tafadhali,
Kwa hili napenda kuipongeza serikali na kampuni ya cement Dangote, bei ya cement imekua nafuu sana kwa wale wanaojenga wakati huu, najua kwa Dar itakua pungufu zaidi ila sisi wa mji kasoro bahari...
Nipo dar es salaam , ni mwanafunzi wa chuo nahitaji mkopo wa laki 2 ili niongezee ada ya chuo, mwenye kunikopesha naomba anipe vigezo husika,
Naombeni ushirikiano wenu, nimalizie masomo,
Habarini wandungu,
Kuna mdogo wangu huwa anatengeneza bidhaa ndogo ndogo, kama biscuit, karanga za mayai, keki, kashata nk then anapeki vzr, na kuna supermarket moja imeshakubali kupokea bidhaa...
Habari wadau,
Nimegundua kuna watu wana vipaji vya kupiga watu hela, mfano huyu dogo Ontario maana nimesoma thread ambayo dhumuni lake kuu ni kuitangaza bit coin na wenzake apige hela ila kaanzia...
Great thinkers tujadili mawazo ya viwanda vidogo vidogo, vinavyoweza faa hapa Tanzania kwa mazingira ya sasa.
Serikali inahamasisha watanzania tujikite katika eneo hili.. Mimi nataka kuingia...
Kama uzi unavyojieleza. Salam! Wana jf.. Najua Kuna watu wamenizidi umri humu bas shikamooni
Kwanza kabisa mi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa 3 na wa mwisho, nilipanga mwaka wa 3 nianze kufuga...
Welcome Mjasiriamali Desk
This is an excellent resource for connecting with other entrepreneurs or business leaders. Business owners can access information generally about planning, starting, and...
Habari!
Je biashara yako ni ya aina gani?
Je ni biashara ambayo huwezi kuifanya katika muda wote wa mwaka? ikiwa jibu ni NDIYO, basi biashara yako ni ya MSIMU.
Je msimu wa biashara unapokwisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.