Kwanza hongereni kwa michango yenu ya kujenga, huwezi kupita jukwaa hili usipate kitu kipya.
Ila pia kwa upande mwingine baadhi ya washauri, wachangiaji ni wakatishaji tamaa sana.
Mtu anaomba...
Wapendwa wadau,
Niko Sengerema ni mwezi sasa, nahitaji kujua fursa nyeti zitakazoweza kuniingizia kipato iwe ni ya gari, kilimo na hata ujasiriamali.
Naomba mawazo yenu wana JamiiForums.
Habari wakuu,
Naomba ushauri,
Nataka nifungue platfom google ambayo itahusika na utoaji wa mafunzo ya mapishi kwa njia ya masafa marefu yaani distance learning na mtu atakua anabook kipindi...
Habari zenu ndugu zangu,
Katika tafiti zangu zisizo rasmi, nimegundua kizazi kinacholalamika kuhusu ajira, naongelea degree holders ni waliomaliza kidato cha nne mwaka 2010 na kurudi chini. Na...
Wakuu.
Nimepata kubadilishana mawazo na wafanyabiashara wakubwa , wengi wao wanaelezea jinsi walivyohamisha mitaji yao na kutoa pesa kwenye mzunguko nchini,
Na mitaji yao wameipeleka mataifa...
Mimi ni mfanyabiashara wa dagaa za Mwanza za kukaanga pamoja na samaki kutoka Mwanza, nimeanza biashara hiyo nina mwezi mmoja.
Changamoto kubwa ninayokutana nayo ni gharama kubwa za uendeshaji...
Habari humu ndani nimenunua asali ya nyuki wakubwa toka TABORA dumu la Lita 20 kwa laki moja na arobaini ninaomba formula ya kupata being ya kuuzia please nasubiri.
Habari za Leo wadau.
Tafadhali naomba kueleweshwa vizuri juu ya matumizi ya mada tajwa hapo juu.
Nimegundua fursa ya kuwekeza mtandaoni ambapo Nina uwezo wa kupata faida kubwa kwa muda mfupi na...
Msipende kufurahi kwakila ubaya wanaotendewa wapinzani kwani upinzani ukiwa hauna nguvu serikali inaweza kujiamulia chochote ifanye pasipo kuhofia lolote.
Kushinda njaa hakumfanyi mtu kuwa tajiri...
Habari wana jamvi!!
Mimi ni kijana Mtanzania Halisi Mwanzilishi Community Based Organization (CBO) iitwayo lifelong learning community based organization yenye ofisi iliyo sajiliwa mkoa wa Dodoma...
amani ya mwenyezimungu iwe nanyi wadau
naombeni ushauri baba kaka dada na rika zangu ambao naamini mnayajua maisha kuliko mimi,... kwa mshahara ninao pokea kwa mwezi nauwezo kwa suisave laki...
Mwanzoni haikua rahisi, ile miezi miwili au mitatu sitaisahau kwenye maisha yangu kwani ilikua ni migumu sana
Biashara niliyoanza nayo haikua biashara sahihi kabisa mambo yakawa magumu sana tena...
Waziri wa Fedha na Mipango Mh. Dk. Philip Mpango akizungumza na wageni waalikwa katika hafla ya uzinduzi rasmi wa uuzaji hisa za Maendeleo Bank PLC uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Hisa za...
Mimi naitwa Obadiah, jinsia mwaname, jamani naomba ushauri na experience ya kununua gemstones Tanzania na kupeleka kuuza Canada kwasababu nina VISA ya Canada na nimetafuta VISA because nataka kuwa...
Nahitaji kiasi cha kuanzia laki sita.
Nina business idea lakini sina wa kunishika mkono.am alone.
Kinachonikwamisha ni mtaji tu
Mimi ni mwaminifu tutaandikishana then tutapatana kiasi cha...
habari zenu wana JF,
Kijana mwenzenu nimefikiria bishara tajwa hapo juu ili kuweza kujikwamua na hali hii ngumu ya uchumi,
Nina Kaeneo kangu ambako Nimeshindwa kukaendeleza kutokana na hali ya...
1. Kamwe usiamke mapema wala usiwaze maendeleo waza ngono muda wa kuamka kama huna usingizi ingia FB au insta, endelea kulala na kujinyosha mpaka pale njaa itakapokuuma.
2. Kamwe usipange jinsi...
Wanabodi,
Sina haja ya kuelezea faida na changamoto za mikopo, wakopaji wanazo faida na changamoto za marejesho, wakopeshaji nao wanazo faida na changamoto za kukusanya marejesho. Lengo la...
Ni habari za kusikitisha lakini lazima tuzisikie na kujua jinsi ya kutatua matatizo yetu.
Kulingan na The Guardian gazeti la leo 2/10/2017, mauzo ya bidhaa za viwanda vyetu kwenda nje ya nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.