Bonson
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 183
- 147
Wanajamvi,
Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala (Uganda) nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa ni wafanyabiashara wa Ki-Tz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.
Najiuliza inakuwaje vitu ni bei nafuu zaidi Uganda ijapokuwa hawana bandari? Mizigo yao yote hupitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni bei nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku!!
Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??
Mungu Ibariki Tanzania
Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala (Uganda) nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa ni wafanyabiashara wa Ki-Tz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.
Najiuliza inakuwaje vitu ni bei nafuu zaidi Uganda ijapokuwa hawana bandari? Mizigo yao yote hupitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni bei nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku!!
Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??
Mungu Ibariki Tanzania