Wafanyabiashara kutoka Tanzania kufuata mizigo ya bei nafuu Uganda, imekaaje?

Bonson

Senior Member
Apr 20, 2013
183
147
Wanajamvi,

Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala (Uganda) nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa ni wafanyabiashara wa Ki-Tz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.

Najiuliza inakuwaje vitu ni bei nafuu zaidi Uganda ijapokuwa hawana bandari? Mizigo yao yote hupitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni bei nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku!!

Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??

Mungu Ibariki Tanzania
 
Wanajamvi,

Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIRNDS jijini Kampala nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa na wafanyabiashara wa KiTz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.

Najiuliza inakuwaje Uganda haina bandari lakini bado mizigo yao inapitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni being nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku??

Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??
MWENYEWE NAENDA HUKO KUFWATA bidhaa
 
Wanajamvi,

Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa na wafanyabiashara wa KiTz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.

Najiuliza inakuwaje Uganda haina bandari lakini bado mizigo yao inapitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni being nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku??

Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??

Urasimu , ukiritimba , uzembe , uvivu na ujinga uliokithiri huko bongo ndio matokeo unayoyaona
 
Wanajamvi,

Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa na wafanyabiashara wa KiTz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.

Najiuliza inakuwaje Uganda haina bandari lakini bado mizigo yao inapitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni being nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku??

Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??

Bonson, hata mimi huwa napata shida sana kuelewa.

Wafanyabiashara wengi wa nguo kutoka ukanda wa ziwa na hata kutoka Dar, wanaenda kuchukua mzigo Kampala.

Kuna siku nilikaa siti moja na mfanyabiashara, tulikuwa tunatokea Mwanza kwenda Dar kwenye basi. Aliniambia Mali za Uganda zina ubora tofauti na za kariakoo. Alisema wafanya biashara wa Uganda huwa wanaagiza nguo za grade tofauti, na wakati wa kununua wanakumbia kabisa tofauti iliyopo. Alisema Kariakoo vitu vingi ni low quality.
 
pesa ya Uganda iko chini. inaweza kuwa sababu. Ukienda mtukula ukachange hata 1Mtzs unapata pesa za uganda za kutosha na unanunua vitu kibao.
ila wenyeji wa hizo safari wanajua mengi zaidi
 
Wanajamvi,

Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa na wafanyabiashara wa KiTz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.

Najiuliza inakuwaje Uganda haina bandari lakini bado mizigo yao inapitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni being nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku??

Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??
Mkuu ni kuwa ukadiriaji wa kodi kwetu ni wa kukomoa kitu unanunua $10 wao wanasema $20 sasa ukilipa kodi kwa kiwango hicho lazima bei itapanda. Hakuna kuaminiana kati ya mwagizaji na tra.
 
Mkuu ni kuwa ukadiriaji wa kodi kwetu ni wa kukomoa kitu unanunua $10 wao wanasema $20 sasa ukilipa kodi kwa kiwango hicho lazima bei itapanda. Hakuna kuaminiana kati ya mwagizaji na tra.
umeonaaa eeeee yaani kodi inakuwa kubwa kushinda bidhaa uliyonunua sasa hapo kuna nini cha ziada kama sio wanakutukomoa hawa serikali
 
Wanajamvi,

Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa na wafanyabiashara wa KiTz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.

Najiuliza inakuwaje Uganda haina bandari lakini bado mizigo yao inapitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni being nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku??

Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??

Serikali ya uganda inawasaidia sana wafanya biashara kwa kuondoa kodi zisizo na msingi ndio maana bidhaa zao bei rahisi sana.hata yard ya magari za uganda unapata kwa bei ya japan.

Wafanya biashara wengi wa tz hasa wa nguo wanachukua bidhaa uganda lkn huko dar utawasikia wakiwaambia wateja wao kua wanaenda china,hong kong,thailand,uturuki nk kuchukua mzigo kumbe yupo majestic plaza huko uganda.

Na bidhaa zao kusema ukweli ni quality haswa na wanajua kwenda na fashion.kitu cha mwaka jana huwezi kipata mwaka huu!
 
Kampala bidhaa kama nguo, viatu and the like ni very cheap-walishaingia kwenye nchi ya viwanda.
Kwa upande wa vipuri na vifaa vingine bado ni cheap sana licha ya kuingizwa UG kupitia Kenya. Bei iko chini kutokana na pesa yao kuwa chini ya Tz shilling hivyo ukiingia UG na laki 3 kama ni nguo na viatu tu unakuja full kama faru fausta.
 
What I know watu wakienda Dubai let say.
Wote wa Tanzania na waganda wananunua bei moja. Either ya Dilham au dollar au Yuan kama ni China sasa wakirudi nchini mwawo say nguo imenunuliwa dollar moja ambao nisawasawa na 2400 ya TZ.
Then uganda ni sawasawa 2400. Sasa waganda hiyo nguo atayiuza 5000 ya uganda na mbongo atauza 5000 ya Tz. Sasa hapo ni sawa na 3500 Tz.

Kinachotokea ukiwa unachukua mzigo mkubwa unajikuta ume save sana. Nina uzoef katika sector hii uliza utajibiwa kwa ufasaha
 
Pili ukichukua nguo maybe China unangalia interest za wa Tz unaleta nyingi namwengine hivyo hivyo. Sasa waganda wanagalia interest zao. Kinachotokea ukienda uganda unaleta nguo unique ambazo hazitokua nyingi yani sare. Ukileta tz watu wanaona nguo unique kwasababu haziko huku ziko sehem nyingine.
Cjui nimeeleweka
 
Back
Top Bottom