Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

[emoji144][emoji404][emoji383]⚙[emoji144][emoji404] KUFANIKIWA KATIKA MAISHA SIO ELIMU TU, BALI NA UJASIRI WA KUJIAMINI NA KUTHUBUTU! [emoji116][emoji116][emoji116] Ukichunguza katika jamii...
4 Reactions
8 Replies
6K Views
What happening Jamani. ....???
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Katika jiji kama hili la DSM nashangaa sana kuona bado hatujaweza kuwa na mfumo wa kuwa na maduka yetu kufanyakazi hadi angalau saa 4 usiku. Inakuwaje main shoping area inayojulikana sana hata...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Op Msaada kulipiwa mafunzo ya TMT, yatayofanyika Dar es salaam tareh 23/10/2017-27/10/2017 Mm ni kijana wa kiume, umri wangu ni late 20s naish Dar es salaam, mm ni mhitimu chuo fulani nchin...
9 Reactions
42 Replies
6K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bearish Gold is a choppy market, though movement has generally been bearish. Last month, price went upward to test the resistance level at 1305.78, before dropping...
0 Reactions
1 Replies
606 Views
Ishu ni kwamba meme ni mjasilia mali nahitahi mkopo hata wa 2 m ili nikuze biashara yangi nifanyaje na je nipitie njia zipi
1 Reactions
0 Replies
788 Views
Habari, wana JamiiForums, Naomba wataalamu wanisaidie, mawazo, natakana kusuplly wi-fi, katika eneo lenyemsongamano mkubwa wa watu, hasa wanafunzi. Lengo kuu ni biashara, mfumo nataka uwe hivi...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
I don't know how to say b'se most of people. We struggle for poverty or financial problems b'se of ignorance and fear not the economy or government or other reason.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ya hapa na pale wadau. Leo nimewaletea fursa niliyoiona nataka tushirikishane ideas. Iko wazi sasa hivi kuwa biashara ya mazao nchini imekua mbaya hii nikutokana na masoko ya...
3 Reactions
18 Replies
8K Views
Hatua ya kuamua kuingia katika biashara Kuamua kuingia katika biashara ni majumuisho ya utayari wa kisaikolojia, kiakili, kiuchumi na kukabiliana na hatari au vitisho vyote vitakavyojitokeza...
4 Reactions
14 Replies
11K Views
Naomba ushauri nataka kwenda mozambique au DRC congo kuanza biashara ya ununuzi wa madini na kuuza. Mtaji wangu ni USD $1000
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Je kuna mtu yoyote anaeweza kunisaidia kuhusu kampun yoyote iliyoko tanzania inayojihusisha na utengenezaji na uuzaj wa mabus makubwa kwa hapa tanzania. Nnataka nifanye tathmin either kuimport au...
0 Reactions
33 Replies
21K Views
Nimepata shida ya ghafla biashara imeyumbaa. Si unajua msimuu wa Magufuli huu So nina uhitaji wa Tsh laki moja au elfu 80 naomba mnikopeshe. Nipo kwenye kipindi cha mpitoo biash ara imeyumba...
0 Reactions
72 Replies
10K Views
Imeripotiwa na gazeti la Mwananchi kuwa, bei za mafuta ya dizeli, petroli na mafuta ya taa zimepanda kuanzia Novemba Mosi, 2017. Chanzo gazeti la Mwananchi: Bei za petroli, dizeli na mafuta ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
The number of Tanzania’s centi-millionaires continues to grow substantially as economic growth in the country outstrips that of other countries in the East African region. Apart from the easily...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Kila ninapohamisha fedha toka bank kwa njia ya simu ni lazima niwe na salio la kawaida kwenye simu, tatizo ni pale ninaporuhusu kukatwa salio la kawaida ili muamala ukamilike salio linakatwa...
7 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu, Hivi kwa wale wenye ujuzi naomba kueleweshwa faida na hasara za kuregister biashara Brela kama partnership ama company. Ni vitu gani hasa inatakiwa kuviangalia (kodi? capital? aina ya...
1 Reactions
20 Replies
11K Views
Mwenye balance sheet ya ATC ya mwaka ajana ialete tuone matumizi na mapato yao
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Wasalaam wapendwa, husika na kichwa cha habari, naomba yeyote mwenye nia ya kunisaidia mkopo wa kiasi cha laki 3 nina shida ya dharura naomba anisaidie. Napatikana arusha. Asante
0 Reactions
55 Replies
4K Views
Salamu,naomba kujua kuhusu biashara ya vifaa simu ...chaja,earphone ,pbank,nk .Bei na upatikanaje wake. Nataka kufanya biashara na wanachuo.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…