Kwanza niseme asanteni sana kwa watu wote waliowahi kusoma threads zangu au kunitafuta kuhusiana na biashara ya Real estate hasa katika Jiji jipya la Dodoma.
Kipindi nimeanza...
Leo katika pitapita zangu nikaona tangazo la NMB kuwa kwa sasa wanatoa mkopo nafuu kwa watumishi na wamesema ni asilimia 11% pia kuzingatia 1/3 ya
mshahara.....
Maswali yangu..
1. Iyo 1/3 ya...
Kampuni ya Coca-Cola Nyanza Bottlers ya Mwanza imemwaga zawadi kwa washindi wa promosheni ya Mzuka wa Soka na Coka inayoendelea.Wakazi 16 wa kanda ya ziwa wiki hii wameweza kukabidhiwa zawadi...
Sipendi niwachooshe saana na nisiwe mwongeaji ila kwa ufupi nimeona nivema tukasaidiana baadhi ya vitu either katika kujibu au kufundishana
Mimi najitolea kufundisha sabuni ya maji kwa vitendo...
Zao la Kokoa hutokana na mti wa kakao (Theobroma cacao) ni maarufu sana katika nchi za Cameroune, Ivory Cost, Ghana na Nigeria na huko ndiko zaidi ya nusu ya kakao yote duniani inazalishwa kikubwa...
Habari ya muda huu wanajamvi.
Siku zote tumekuwa tukisikia story za mafanikio katika biashara Fulani bila kusikia changamoto au ugumu wa biashara hiyo hali inayopelekea wengi kushindwa...
Habari ndugu wa JF
Nimefuatilia thamani ya shilingi yetu kulinganisha na Dolla katika kipindi cha wiki mbili na nimegundua kwamba inaporomoka thamani kwa kasi sana.
Kwa mfano leo ubadishwaji wa...
Habari za majukumu wanaharakati, naomba kufahamu kama kampuni ya kutengeneza na kuuza Mashine za Tofari za Interlocking, Yenye makazi yake south África kama wana branch hapa tanzania, kama ipo...
Fumbuka Ng'wanakilala
3 MIN READ
DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania’s communications regulator has given bloggers two weeks to register their platforms under strict new online content rules...
Hii kampuni ya kuuza magari SBT Japan wanachosha kwa simu. Nime block namba zao kibao, lakini wapi. Kumbe kuna SBT Kenya na Tanzania ambao nao hawachoki kutwanga simu kila mara.
Je, unapata...
Habari zenu watanzania wenzangu!!
Naitaji elf 90 niweze kulipia kodi ya nyumba, kwa atakayeguswa,naomba ani PM nimpe mawasiliano yangu,anikopeshe hata kama nikwa riba,nipo serious wadau
Wadau naomba ushauri. Wapi jijini Mbeya naweza kujenga nyumba ya kuishi binadamu kwa ggharama isiyozidi mil.5. kwa kuanzia nina mil. 1. Nikipata na shamba itakuwa vyema zaidi. Nataka ya matofali...
Fuatilia uzinduzi rasmi wa ofisi mpya -Capital Office na Tawi letu la NMB Kambarage unaofanywa na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanina, Mh. John Pombe Magufuli mjini Dodoma. #NMBKaribuYako
Wakuu , nnaitaji kununua camera from eBay, sasa naulizia ikifika kwa njia ya posta.. Nackia kuna kulipia kodi,
Je, kwa makadirio kodi utakua kiasi gani, bei ya camera ni $300....laki sita naa...
Masikini ndo wenye pesa na sio matajiri na kusingekuwa na masikini basi hata matajiri wasingekuwepo, na kumbuka masikini wako Dunia nzima hata kule tunako tamani kwenda kusihi kwa Green card nao...
Napenda kuleta Uzi huu mahususi kabisa kwa wale jamaa zangu wa FOREX !!! Nimeona niseme kitu coz hapo mwanzo kipindi ndugu na jamaa yetu bwana Antario alipoanzisha uzi wa Forex !!!
Naweza kusema...
Salaam wakuu. Nimeitoa huko nikaona itapendeza nikishare nanyi. Hiyo hapo tiririka nayo.
ASSET~ni kitu chochote kinacho kuingizia pesa mfukoni uwepo au usiwepo.
LIABILITY~ni kitu kinachotoa pesa...
Asalam Aleykum wanabodi.
Nimekutana na mkasa wa kusikutisha kidogo, wakati Mhe. Rais anawaambia watanzania watembee kifua mbele, hali ni tofauti sana.
Kuna watendaji wa mashirika ya umma wanapiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.