Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

...Uamuzi wako wa kusikiliza sana maneno ya watu na kuwafanya wao ndio majaji na wa waamuz wa maisha yako, yaani mpaka wakuthibitishe wao ndio ufanye jambo, itakugharimu nguvu nyingi sana Kufikia...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Hii ni Pilicy ambayo ingegusaidia sana
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Sisi wanaume sio wote wamepewa uwezo wa kiume -Wengi wamekwama -mitaji. hawana -njia hawajaijua -wanaume tuwezeshane kiuchumi -wanaume wa tanzania tunaweza zaidi Natafuta wa kuniwezesha...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
#MONEY_MISTAKE 1 Usikope pesa ya riba ili uanzishe biashara. Usitegemee pesa ya mkopo kuianzishia biashara, upate faida kisha uirudishe pesa ya mkopo na riba yake. #MONEY_MISTAKE 2 Usitumie pesa...
8 Reactions
9 Replies
3K Views
Wadau nmepangiwa kaz Kilwa-Kipatimu Shule ya msingi Nasaya,,,,, Naomba maelez ya kuosha kuhusu eneo husika 1-Kodi ya nyumba 2-Umbali na usafir kutokea mkuranga 3-Huduma za kijamii n.k
3 Reactions
52 Replies
7K Views
Za mda huu wadau JFGT, naamini mko vizuri na siku mnaimalizia kwa amani Niende kwenye mada; Katika utafutaji wa maisha hasa pale unapoamua kujikwamua kimaisha na hali bado uko chini sana na...
11 Reactions
13 Replies
1K Views
Habar zenu wakuu Naandika huu Uzi nikiwa na masikitiko makubwa sana . . Nimefanikiwa kua na kibanda changu cha tigopes maeneo flani hapa dar... Kabla sijamuweka mtu Wa kufanya huduma kwenye...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari wapendwa kuna mtu kaniambia kuna biashara nzuri ya maharege na Dagaa Nyasa kutoka Tanzania huko Africa ya Kusini. Mwenye kufahamu kwa kina naomba atupe ABC zake hapa
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wakuu, mimi nina bidhaa nyingi mnoo aliexpress zaidi ya mwaka sasa nina mizigo ya aina 15 hivi inakuja sasa issue ni kuwa leo nanunua inaniandikia kwamba the total number of order exceed...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika watu wakuangaliwa mno ni hawa wafanyabiashara wadogo hususan vijana wanaonunua bidhaa njee ya tz na kuziingiza nchini, nadhani kuna haja ya serikali kupunguza au kuondoa hizo kodi za...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Swala la Location ya Biashara linahitaji hesabu kari sana. Watu wengi sana wanachemka mno hii sehemu. Unakuta mtu ana wazo zuri sana ila location huja kuua lile wazo. Wengi baada ya Kodi ya...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Niko sehemu ambayo siwez fika benk ila nina check hapa,kwenda kuchukua hela nimekwama,nijulishen ndugu lin chek huwa ina expire
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari za saa hizi waungwana, Naomba kwa anayejua wapi naweza kupata mkopo wa biashara kwa kutumia dhamana ya kiwanja anielekeze. Asante
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari! Nimepata deal la kuuza bidhaa nje ya nchi ila moja ya vigezo vyake package lazima iwe na barcode, kwa hapa bongo wapi naweza kuipata? Natanguliza shukrani!
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Baada ya BOT kufuta benki 5 na kuona wananchi wanalia nje ya majengo ya benki kuwa akiba zao za fedha zimekwenda na maji, Je ni benki gani nzuri kwa sasa zinafaa kuweka akiba ili kuepusha kasumba...
0 Reactions
22 Replies
10K Views
[emoji683] Unaweza kuwatendea wema watu kwa uwezo wako na kwa nafasi yako lakini wao wakakuchukia vibaya mno cha msingi usitegemee kutendewa wema nao, unaweza kuwapenda watu kwa nafasi zao lakini...
1 Reactions
0 Replies
721 Views
Coach Lazaro Samwel: *#AchaNikufungue@2018* Tip No. 10 " Hakikisha unapokatishwa tamaa haukati tamaa mpaka mkatisha tamaa akate tamaa ya kukukatisha tamaa. Ukishindwa hili funga ndoa na kusonga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Nataka kujua wapi wanaweza kumpa mtu mkopo kwa dhamana ya kuweka vyeti vyake iwe cha O-level, Advance, Chuo au vyote kwa pamoja. Kutokana na hili janga la ajira kutopatikana wasomi wengi...
2 Reactions
52 Replies
9K Views
Back
Top Bottom