Asalam Aleykum wanabodi.
Nimekutana na mkasa wa kusikutisha kidogo, wakati Mhe. Rais anawaambia watanzania watembee kifua mbele, hali ni tofauti sana.
Kuna watendaji wa mashirika ya umma wanapiga...
Wasalaam wakuu,
Wanawake wengi waliojaliwa neema za Mungu mara nyingi wanapata shida sana katika kupata nguo nzuri za ndani(chupi na blazia) ambazo na yeye zitamfanya ajisikie vizuri kama wenzetu...
Hongereni sana watanzania wote mliofanikiwa ku-make on the list ya new selected Tony Elumelu Foundation Entrepreneur for year 2018.
Haikuwa rahisi hata kidogo, 150,000+ applications from 54...
Mfano mwezi ulioisha nilifatilia kibali cha kusafirisha kenge nje ikashindikana ila nikaambiwa watu wa zuu pekee ndio wanapewa lessen za kusafirisha wanyama ila mim nasemea kenge sijui kama kenge...
Kwanza tutoke mafichoni. Tujitokeze mitaani kuangalia je ni fursa gani zipo. Makala iliyopita nilitoa mfano wa makala ya muuza matunda. Leo naomba nitoe makala nyingine inayofanania.
Kuna rafiki...
Habari zenu wana jukwaa.
Niende kwenye kiini Cha mada, Mimi ni mhangaikaji mwenzenu yaani ni mtu naisaka pesa popote inapopatikana ilimradi iwe njia ya halali.
Natafuta pesa bila kujali ni kazi ya...
Kuna siku nilileta bandiko hapa la Mdada gradute kuuza uji watu kwa kifupi povu liliwatoka na wengi unakuta wako mtaani na wengine wanaishi kwa shemeji na wengine wamejiriwa wanakula Kilo 3 na...
Kila mmoja kwenye maisha anataka mafanikio maana mafanikio yako ndio yatakayokufanya ushi maisha ya kifahari, uweze kumilijiki majumba pamoja na magari ya kifahari.
Lakini umetamani sana kutafuta...
Wasalam wakuu
Kumekua na faida chungu mzima za kununua bidhaa mtandaoni hususan eBay,Amazon,aliexpress, na wengineo
Leo naomba nije na maswali kuhusu hawa alibaba
Kiukweli mimi nina uzoefu na...
Nime import bidhaa na nimechajiwa VAT bandarini ila wateja wangu wa Zanzibar wakitaka ingiza mzigo zanzibar wanachajiwa tena VAT,
Nitumie document gani, ili wakionuesha wasichajiwe tena VAT??
Ukifika Dar Intl Airport na ukaingia pale FLAMINGO RESTAURANT kama upo makini utagundua movements zisizo za kawaida yaan kama kuna biashara isiyo ya kawaida inafanyika pale yaani kuanzia wahudumu...
Kwa wale wote wenye uhitaji wa fulanaa au manga Kali zilizokwixha printiwa zinapatikanaa hapaa kwangu nichek kwa nambar 0658176932or 0742036732 au unaweza nichek au kunifollow instragram follow...
kwa anae tumia ADVCASH ...ukishajiunga kuna sehem 3 za kujaza ile ya pili wanadai baadh ya vitu flani flani hivi ila kwangu nimeona nafuu barua ya utamburisho kutoka bank but nilipoenda bank...
Wadau ni njia zipi nifuate ili kufanya kazi na haya makampuni???
Pls kwa anayejua na aliyefanya nao naomba anaeleze.
N:B Pia mapungufu ya kazi hiyo mniambie wadau.
Kwa urahisi waweza ni sms...
Haya ndgu zangu wa kanda ya ziwa, tujumuike pamoja kupata mafunzo ya Forex yatakayoanza tarehe 20 November 2017 jijini Mwanza. Training hii itaendeshwa na wataalam wa hii business The Million...
Kwa kiasi kikubwa sasa biashara (Industry) mbalimbali zinakutana na mabadiliko mengi na yasiyotarajika na kutabirika (environmental uncertainty).
Ushindani katika biashara umekuwa mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.