r a plant-based breakfast? Here’s what up breads, one-half grape, 50 % a apples, three to four strawberries, a few blueberries, a few blackberries, an amount of peanut butter. Coffee. Two to three...
NAMNA GANI MARAFIKI WANAWEZA KUATHIRI BIASHARA YAKO. /UNAO WAITA "WATU WAKO" KAMA HAWASUPPORT UNACHOFANYA SIO "WATU WAKO".
NI wazi kuwa watu nchi yetu imejengwa kwa misingi ya ujamaa na...
Wafanyabiashara hii tabia imezidi siku hizi eti "sina chenchi" kwa hiyo nisinunue alafu kibaya zaidi hadi kondakta naye anasema "sina chenchi" kwa hiyo nisilipie.
MImi nafanya biashara ya kununua na kuuza dhahabu hapa hapa Tanzania. Nanunua kwa wachimbaji wadogo wadogo, nauza kwa hawa Sonara wa hapa hapa nchini ambao hununua kwa asilimia (percentage...
Habari wana janvi, nahitaji ushauri pamoja na utaratibu wa namna nzuri ya kufungua kampuni ndogo ya kukopesha fedha, mambo ninayohitaji kuyajua ni;-
1. Kianzio cha mtaji unaohitajika
2. Utaratibu...
Heri wanajukwaa
Kuna alishawahi kununua simu mtandaoni km ebay, amazon na aliexpress akatumiwa simu kwa njia ya posta akaipata bila kuibiwa?
Nataka kununua simu aliexpress sasa itabidi nitumiwe...
Husika na kichwa cha habari hapo juu nilikuwa nahitaji kujua translation yani kubadilisha maneno ya kingereza kwenda kwenye kiswahili kwa ukurusa mmoja inaweza kugharimu kiasi gani cha fedha...
Mzee Reginald Mengi ametangaza fursa ya mtaji wa $ 20 000/- kwa vijana walio chini ya miaka 35. Watahitajika vijana wawili ambao kila mmoja atakunja $ 20 000/
Habari wana jf,
Najua kwa sasa teknolojia imekuwa sana duniani, dhumuni la uzi huu naomba tujuzane fursa tofauti tofauti zilizopo kwenye teknolojia ili na sisi tuzikimbilie kama walivyofanya...
Mtazamo ni vile ambavyo mtu amejengewa au amejijengea maana fulani au imani fulani juu ya jambo fulani. Mtazamo waweza kutengenezwa kutokana na mazingira unayoishi vitu unavyosoma, kutazama na...
Ukiwa umeajiriwa na kampuni binafsi ikaja ikatokea mmiliki wa kampuni halipi mishahara inafika mahali hata ofisi halipii jengo ilipo, landlord anafunga ofisi na mamlaka za serikali nazo...
Hali ni tete kwa wakulima wa mahindi, bei ya mahindi na bei mbolea tofauti yake ni kama mbingu na ardhi.
bei ya mbolea aina ya urea ni tsh,58 000,
bie ya mahindi kwa gunia ni tsh,24000,
basi...
Nimeagiza mzigo wangu kutoka china kupitia aliexpress na nimeufuatilia kupitia traking number mpaka ukatua dar es salaam tarehe 19-07-2016 lakini mpaka leo sijaupata. Nimejaribu kufuatlia kwenye...
Ni decentralized coin ,ambapo haina institution,authority,au organization ambayo ina handle coin hii ni kama bitcoin lkn litecoin is better kuliko kutokana na sababu zifuatazo
1.blocksize kubwa...
Habari wadau.
Naomba nijielekeze moja kwa moja kwenye hoja yangu.
Mimi naishi Rukwa,na nina kampuni iliyosajiliwa kisheria na inafanya kazi tangia miaka ya 2013. Najikita na shuguli za...
Wadau,
Kuna binamu yangu (mtumishi wa Serikali) amechukua mkopo CRDB huko Ruvuma, lakini cha kushangaza hadi wiki inakatika hajapewa huo mkopo. Je, kwa wale waliokwishachukua CRDB huwa inachukua...
Habari gani jukwaani?
Mimi ni mwandishi wa vitabu vya motivation and inspiration pamoja na riwaya. Kweli nimefanikiwa kuandika vitabu kadhaa.
Nimefanikiwa kutoa kitabu kimoja cha riwaya ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.