Kwanza polen na majukumu, pia mungu ashukuriwe katika kutupatia uhai wa kila siku,
Naanza na kuwapa ushauri wa kupanua biashara yako kimataifa,
1. Sister schools,
Wale wenye shule ambazo...
Wakuu,
Nahitaji kufungua duka kwaajili ya kuuza viatu vya kiume, walengwa ni vijana wenye umri wa kuanzia miaka 15 mpaka miaka 35.
Hivyo naombeni ushauri wenu, ni jina gani litafaa kwaajili ya...
Ndugu wanajf wiki moja iliyopita nilikuja hapa na kuwashukuru kuwa baada ya kunishauri kuwa nifungue genge kwa kamtaji kangu kale ka sh.350,000/=.Nimefanikiwa kufungua genge kwa sh.100000/=na...
Habari wadau?
Hivi ni biashara au huduma gani naweza kuianzisha mwaka 2019 na baada ya miaka 5 ikakua na ikafaa na kizazi changu kijacho. Mtaji wangu mpaka June mwakani naweza kuwa na cash 20M ...
Habari za jioni wakuu, kwanza kabisa nipende kueleza hali halisi ilivyo huku mkoa wa lindi na mtwara kwa hali ya korosho wa hali kimsingi ni mbaya sana kiasi kwamba watu waliokuwa bado na korosho...
Wasaalam.
Wakuu kama mada tajwa hapo juu,
Naomba kila mtu mwenye biashara ya ujasiriamali ambayo amewahi kufanya au pengine mpaka sasa anafanya. Dhumuni la uzi ili kila mtu apate mbinu mbadala...
KIJANA WA UMRI WA MIAKA 20+ AFANYE NINI KUJIHIMU NA MASUALA YA KIUCHUMI NA KIUWEKEZAJI?
Mwaka ndiyo upo ukingoni , wengi wetu wakati huu pia tumeongeza umri kwenye namba za miaka yetu na wengi...
Habari za muda huu wana jukwaa! Naomba kujua tafsiri sahihi ya mmachinga ambae ndie mlengwa wa kitambulisho cha umachinga!
Swali langu: kama wewe ni mtumishi wa serikali mfano mwalim, au...
Hallow guyz,
Ebhana mimi ni kijana mjasiramali lakini katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana a video moja ya jamaa moja akiwa ana refine mawese kwenda mafuta haya yakina korie bila machine...
Hivi tofauti na ufugaji na kilimo idea kubwa ambazo zitakufikisha mbali zaidi ni zepi zaidi ya nyanja za teknolojia hususani ile ya mawasiliano.
Kwa dunia ya sasa matajiri wengi wantokea kwenye...
Baada ya kumaliza form four miezi michache niliyokaa nyumbani ilikuwa productive sana nilifanikiwa kujiingizia hela nzuri sana kwa umri wangu kupitia biashara niliyohifanya ( forex) ila hii sio...
Natumaini wengi wenu mtakuwa mmegundua hali ambayo si nzuri katika biashara ya ushindani kati ya maji yenye chapa ya KILIMANJARO na maji kama UHAI na mengineyo.
Hali iliyopo ni kuwa katika...
Habari wanajukwaa,
Mimi naomba kufahamishwa jambo; kwa mfano ninahitaji kuanzisha kampuni ambayo itaitwa JIWE. Lakini malengo yangu hiyo kampuni ifanye biashara nyingi kwa jina hilo hilo la JIWE...
*📚Tofauti Kati ya Mwajiriwa na Mjasiriamali*
Kwa hakika kuna tofauti kubwa kati ya mwajiriwa na mjasriamali; tofauti hii inahusisha tabia, fikra, maamuzi au hata matendo.
Kuna baadhi ya watu ni...
Dalili kuu 7 zinazoonyesha mtu ambaye atachelewa sana kufanikiwa.
by Saidi Makini MAFANIKIO
1. Siku zote ana pesa za kununua vocha na kuweka vifurushi,ana pesa za kununua nguo lakini hana PESA...
Wadau,
Naomba kwa wale wenye uzoefu wanipe uzoefu wao nina millioni nane nataka kuanzisha kimoja wapo ya vitu vitatu Restaurant, M Pesa. Na duka la rejareja, ikiwezekana viduka vya rejareja...
Kuanzia mwezi wa 8 Fastjet wataanza kupaa kwenda Harare, Zimbabwe kutokea Dar, TZ. Kwa wale wafanyabiashara katika ya nchi hizi mbili tuliokuwa lazima tupitie Nairobi kwa KQ/PW sasa tukamate fursa...
Umuhimu wa nembo na maana ya nembo katika biashara ama chapa yako.
[emoji843]
Logo/Nembo ni nini?
[emoji843]
Nembo ni alama maalum inayokutambulisha sehemu fulani katika jamii, hiyo ni maana ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.