educator2025
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 386
- 438
Kuanzia mwezi wa 8 Fastjet wataanza kupaa kwenda Harare, Zimbabwe kutokea Dar, TZ. Kwa wale wafanyabiashara katika ya nchi hizi mbili tuliokuwa lazima tupitie Nairobi kwa KQ/PW sasa tukamate fursa kuendeleza biashara.