Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,300
- 5,408
Baada ya kumaliza form four miezi michache niliyokaa nyumbani ilikuwa productive sana nilifanikiwa kujiingizia hela nzuri sana kwa umri wangu kupitia biashara niliyohifanya ( forex) ila hii sio hoja yangu
Baada ya matokeo kutoka nilikuwa nimefaulu vizuri nikapangiwa shule moja Arusha combination nzuri tuu kwa hapa Tanzania ila baada ya kusoma kwa miezi takribani minne tumefunga na kurudi nyumbani.
Nikiwa na malengo yangu ya Ujasiriamali
Hasa hasa ufugaji wa kuku nimefatilia sana faida zake na changamoto nikaona bora nicheze karata yangu huko
Baada ya kuwaeleza wazazi kuwa nahitaji kusimamisha masomo yangu kwa muda wa mwaka mmoja wamenielewa
Nikaona nianze na kale kamtaji nilikokapata kule forex kabla sijapata tamaa ya kukirudisha huko na kukichoma
Baada ya kila kitu kukamilika kama mabanda
Mtaaluma wa mifugo pamoja na mambo mengine bajeti yangu imeniruhusu nianze na kuku 50 pamoja na majogoo hukohuko lengo kuu ni kuku 1000 mwishoni mwa mwaka 2019
LENGO LA UZI WANGU
Mawazo wenu na michango yenu positive pamoja na negative nipo tayari kuyapokea..
Cheers bosses
Baada ya matokeo kutoka nilikuwa nimefaulu vizuri nikapangiwa shule moja Arusha combination nzuri tuu kwa hapa Tanzania ila baada ya kusoma kwa miezi takribani minne tumefunga na kurudi nyumbani.
Nikiwa na malengo yangu ya Ujasiriamali
Hasa hasa ufugaji wa kuku nimefatilia sana faida zake na changamoto nikaona bora nicheze karata yangu huko
Baada ya kuwaeleza wazazi kuwa nahitaji kusimamisha masomo yangu kwa muda wa mwaka mmoja wamenielewa
Nikaona nianze na kale kamtaji nilikokapata kule forex kabla sijapata tamaa ya kukirudisha huko na kukichoma
Baada ya kila kitu kukamilika kama mabanda
Mtaaluma wa mifugo pamoja na mambo mengine bajeti yangu imeniruhusu nianze na kuku 50 pamoja na majogoo hukohuko lengo kuu ni kuku 1000 mwishoni mwa mwaka 2019
LENGO LA UZI WANGU
Mawazo wenu na michango yenu positive pamoja na negative nipo tayari kuyapokea..
Cheers bosses