Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

TENGENEZA FAIDA KUBWA KWA KUWEKEZA NA BITCLUB ADVANTAGE* BITCLUB ADVANTAGE *IFAHAMU BITCLUB ADVANTAGE* HII ni kampuni ya kimataifa inayofanya biashara ya ubadilishaji wa fedha dijitali (crypto...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wadau! Nina kiulizo hapa kwa wale wajuao mambo, pia naamini siwezi kuwa peke yangu nisiyejua, wapo hata wasiojua ninachouliza ni nini, huenda nao wanaweza kujifunza ikiwa Bitcoin...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Mwishoni mwa mwaka 2017 waziri wa fedha na mipango FILLIP MPANGO alitoa agizo la matumizi ya shilingi ya Tanzania katika huduma na ununuzi wa bidhaa kwa wananchi. Agizo hilo lilitegemewa kuanza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye uelewa na hizi biashara za network marketing naomba anipe in and out ya biashara hii maana nimekuwa nasikia watu wengi sana kuwa huwa wanajiunga. 1) Hii mifuko huwa inaukweli wowote kwamba...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
0 Reactions
0 Replies
637 Views
napenda kwashirikisha wanajamii hili suala la mikopo kwenye mabenki yetu hapa Tanzania.siku hizi ukienda kuomba mkopo benki utapewa masharti kama tulivyozoea,ila kinachonikera ni tabia hii ya...
0 Reactions
30 Replies
15K Views
Mhe. Charles J. Mwijage (Mb) Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji amekabidhi mradi wa kujenga Industrial Sheds kwa Mkandarasi JKT mkoani Simiyu tarehe 2 Jan, 2018. Mradi huu ni mahususi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Redirect
Nataka nianzishe biashara ambayo ntakua nafuata biadhaa ug Naleta Tz nisaidieni wadau niabiashagani yenye faida nzuri kdogo achana nguo za mitumba asanteni
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu salaam, Kama mada inavyosema nina gari zangu mbili zipo tu hazina shughuli. Moja ni Ti Carina na nyingine ni Spacio new model, sitaki kuwapa madereva wa mtaani maana sitaki usumbufu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Redirect
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu. Mimi ni Kijana wa kiume ninasoma Dar-es-salaam. Nimeona nifungue mwaka kwa kumpa mtaji dadayangu kufungua biashara ya vipodozi hapa hapa jijini Dar. Naomba...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Tafadhali wana jf nina project idea ambayo nataka ni implement lakini tatizo langu ni kwamba sina mtaji na ninahitaji kusajili kampuni ili niweze kufanya huo mradi. Nimeenda brela kufuatilia...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Sorry ndugu naulizia hatua za kusajili micro-credit???
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wadau habarini. Naombeni kujuzwa fursa za kibiashara kwa sasa kwa mkoa wa Geita. Natamani sana kufanya biashara mkoa huo. Natanguliza shukrani
0 Reactions
Replies
Views
Habari zenu wana jf members,nia yangu jinsi ya kujua mtaji wa kuanzisha biashara ya kusafirisha parcels kutoka sehemu moja kwenda nyingine ambazo inatumia sana piki piki. Je nataka kujua faida...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Salamu wana jf Kama tunavyoinasibisha Jamiiforums kama shule kwahivyo tumejifunza mengi hususani katika nyanja za biashara na ujasiriamali, nikianza mimi Nimejifunza vingi ila kimoja wapo ambacho...
1 Reactions
4 Replies
986 Views
  • Redirect
Nimetembelea Lushoto hivi majuzi ila sikuwa na muda wa kutosha kuzuru vema ila nimevutiwa sana na ule mji. Nataman sana kuishi pale coz hali ya hewa ni nzuri mno. Napenda kujua kuna issue gani za...
0 Reactions
Replies
Views
Juzi kwenye taarifa ya habari ya Azam niliona maandalizi makubwa ya kuanzisha kiwanda cha sukari pale mto Wami. Nikiwa mkazi wa Matipwili naona kwangu hiyo ni fursa ya kiuchumi mwaka huuKaribuni...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Salam zenu wakuu, Naombeni tu nijuzwe maswali kadhaa tu yaliyoniacha njia panda Nimejaribu kufatilia interview moja kutoka kwa millardAyo kuhusu pesa za tanzania zinavyotengenezwa,aliyekuwa...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
  • Redirect
Habari Jf, naomba kuelekezwa haya kuhusiana na biashara ya kuuza soda za jumla Ni mtaji kiasi gani unahitajika ili niweze kufungua biashara hii ya kuuza soda kwa jumla? Depot hii nahitaji iwe...
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom