MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Juzi kwenye taarifa ya habari ya Azam niliona maandalizi makubwa ya kuanzisha kiwanda cha sukari pale mto Wami.
Nikiwa mkazi wa Matipwili naona kwangu hiyo ni fursa ya kiuchumi mwaka huuKaribuni sana huku kwani hata bei ya ardhi ni ndogo sana.
Karibu ni tuwe majirani na tajiri. Ukikaa karibu na UA waridi huchelewi kunukia waridi. Nadhani ekari zangu 27 ndo utakua mtaji wangu.
Nikiwa mkazi wa Matipwili naona kwangu hiyo ni fursa ya kiuchumi mwaka huuKaribuni sana huku kwani hata bei ya ardhi ni ndogo sana.
Karibu ni tuwe majirani na tajiri. Ukikaa karibu na UA waridi huchelewi kunukia waridi. Nadhani ekari zangu 27 ndo utakua mtaji wangu.