Jamani humu kwema. Wadau kwetu kuna njaa sana hasa miezi ya February, March na April. Ni miezi ambayo kwa kweli kunakuwa na shida kubwa sana ya chakula.
Watu wanajinusuru kwa kununua mihogo kwa...
Habari na pole kwa kuchukua muda wenu. Kwa ufupi hali ya maisha ni ngumu sana si kwa waajiriwa wala waliojiajiri, na hii yote kila mtu atakupa sababu zake why this?
Nirejee kwenye mada husika...
kwa yoyote anayefahamu taratibu za usajiri wa biashara naomba anisaidie kunijuza taratibu zao ili kupata usajiri niliwai kusikia BRELA ni kwer wanausika na usajiri wa biashara
Naomba mwenye uwezo na uzoefu wa hii biashara iliyo tapakaa katika kila kundi la whatssap atujuze ukweli
Kwa usawa huu maisha yalivyo tight na wanavyo tutamanisha hata kama ni matapeli wanakaribia...
Siku chache zilizipita , BOT imezifungia benki tano na kuziweka chini ya uangalizi benki nyingine tatu ambazo ni Kilimanjaro corperative Bank, Tanzania Women's Bank and Tandahimba Community Bank...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
The market essentially consolidated throughout last week – in the context of an uptrend. Although price did not go...
Hello wapendwa,
nilikua nauliza maswali gani unatakiwa ujiulize binafsi kabla ya kuanzisha biashara....??
naenda kumuona business advisor,ila ningependa baada ya kupata ushauri wake nimuulize...
Nina eneo kubwa zuri tu lipo barabarani. katika kiwanj a kuna maji pia umeme Ktk utafiti wangu nimeona ktk eneo lote linalohusisha kata kama 3 hivi au zaidi hakuna NURSERY SCHOOL kabisaa . na...
Editorial correction to the Directors Report for year ended 30th June 2017. Paragraph 13: Results and dividends on page 13 of the Report of the Controller and Auditor General on the Reports and...
Habari zenu wakuu
Mimi ni mjasiriamali lakini kwa sasa nina wazo jipya la kufanya Foreign Exchange(Forex) lakini kwa uchunguzi wangu nilioufanya siwezi kupata faida kama nitanunua bureau na...
Habari wana bodi,
Mimi ni mstaafu wa umma, katika maisha yangu nimekuwa na ndoto ya kuanzisha kampuni ya kuhuisha taka chafu na kwa sasa naona nina muda wa kutosha sasa kusimamia shughuli zangu...
Habari
Mimi ni mfanyakazi(mwajiriwa) mahali fulani. Mwaka juzi nilianzisha biashara ya duka kwa mtaji wa 2.7 milions kwa kufungua retails shop(duka la vitu mchanganyiko) ila likasuasua kulingana...
Wapendwa hope mko njema. Nina mpango kuwekeza kwenye eneo tajwa hapo juu, Hivyo ninapenda kujuzwa(kwa mwenye uzoefu) changamoto na namna ya kuendesha biashara hii.
Karibuni
MAGARI ya kifahari yaliyokwama kwa muda mrefu Bandari ya Dar es Salaam kutokana na waagizaji kushindwa kulipa kodi mbalimbali kwa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), yameanza kupigwa mnada huku kukiwa...
Wana bodi.
Nafikiri kila mmoja amesoma na kusikia taarifa ya BOT baada ya kufungia benki 5 kwa kushindwa kufikia mtaji wa Bilioni 2 kulingana na sheria zao.
Kilichoshangaza wengi ni kuwa wateja...
PDF Reports of The 47th World Economic Forum Annual Meeting Based On Travel and Competitiveness Index, Held on 17 - 20 January 2017 in Davos-Klosters, Switzerland (The 48th World Economic Forum...
CRDB wamepandisha riba ya junior jumbo; akaunti ya mtoto ni asilimia 4%.
Nafikiri hii ndo benki nzuri ya kumfungulia mwanao junior jumbo, nasikia iyo akaunti haina chaji kabisa withdrawal or...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.