Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

Wana jf wenzangu naomba mnisaidie kupata sehemu au maeneo gani ya kuweka huduma za afya ? Nataka sehemu zenye sifa zifuatazo ,nyumba iwe inafikika kwa gari , nyumba iwe na vyumba visivyopungua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi hawa jamaa wako serious na Product zao maana Ofcoz product zao ni Affordable ila Garantii ni Muda Mchache Hali inayopelekea kua na mashaka na product zao....Wenye uzoefu na product zao...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba mwongozo katika kuanzisha biashara ya spare za magari kama option no. 1 n.a. option no 2 ninayoifikiria ni biashara ya construction Hardware 3. Biashara ya kilimo. Naomba ushauri nipewe na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niwashukuru tu airtel kwa muda wote wa 3month niliovumilia kuwa nanyi am going back kwa wezi wangu voda majuzi walizima internet usiku na walitutaarifu. Wanaupdate/upgrade network zao ziwe fasta...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Kufumba na kufumbua nimefanikiwa kupukutisha acc zangu ndogo za forex. Moja ilikua na $78 ambayo niliikuza kutoka $10 Nyingine ilikua 40 ambayo niliikuza kutoka $5 ndani ya siku 4. Nilifanya...
6 Reactions
38 Replies
6K Views
Baada ya tetesi za muda kampuni ya Apple imetangaza rasmi kuinunua App maarufu ya kutambua muziki ya Shazam. Katika taarifa iliyotolewa na pande zote mbili kulionesha mafanikio yaliyofikiwa kwa...
10 Reactions
34 Replies
4K Views
  • Redirect
Cc Ontario jamaa kakusanya pesa za mazuzu halafu kawaacha hata Jf kawakimbia.poleni sana hakuna Mt anaependa ufanikiwe kama yeye ukiona mtu anakupa mbinu zakufanikiwa kama yeye mtizame mara 2...
1 Reactions
Replies
Views
Habarini wakuu Nimewaza kuanzisha biashara ya vipodozi wakati naendelea kuitafakari na kuzungukazunguka hapa mjini nimewaza kupanga frame then niikate katikat upande mmoja niweke urembo na...
1 Reactions
4 Replies
935 Views
  • Redirect
Ushauri jamani kwa wadau wenye uzoefu na hii biashara,maeneo Lindi na mtwara kwa wenye ujuzi wa hii biashara maeneo hayo asanteni
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nyumba ina bedroom 2 na sitting room, plus kitchen, store, bathroom and toilet inakodishwa. ipo sanawari kodi yake ni laki mbili na nusu kwa mwezi. pia kwa wale mnaojiandaa kufungua biashara zenu...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mambo vipi nnashida ya business plan naomba kama kuna mwenye sample Tafadhali anitumie kwenye email rweyongezajastin@gmail.com
0 Reactions
Replies
Views
Chuma kinawekwa katika moto mpaka kinaiva kisha anabandikwa mnyama kwenye ngozi. Mifugo ingeweza kutamka maneno nadhani matusi yake yasingevumilika. Watu wa haki za wanyama-TSPCA mpo wapi? Hakuna...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama ume plan kufanya biashara Fulani then ukafanya hesabu ukakuta inahitaji 1milioni na wewe unakihasi hicho cha Pesa usianze na mtaji kamili cha kufanya chukua laki tano anza hivyo hivyo kwa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
habari wadau ningependa kujua tra watantoza sh ngapi,shipping line na port charges assume no stored,verossa 2001 engine 2.0
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wana jamii Kama kichwa cha somo kinavyo eleza hapo juu, tafadhali mwenye ujuzi na uzoefu wa mashine za kutoa nakala yaani photocopy machine anisaidie ushauri. Je ni aina gani ya photocopy...
2 Reactions
34 Replies
19K Views
Habari Wakuu Nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri...
1 Reactions
18 Replies
18K Views
  • Redirect
Habari, jamani nahitaji kuanza biashara ya kuuza mavazi ya wanawake, yeyote mwenye uzoefu na biashara hiyo naomba mwongozo wake.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Kama kichwa kilivyojieleza naitaji msaada wa mawazo,mm ni bint naishi mwanza naitaji kuanza biashara ya kuuza samaki niwe nanuunua wabichi na kuwakaanga then nauza,ivo kwa mwenye uzoefu wa...
0 Reactions
Replies
Views
Nimepata wateja wa kununua unga wa mahindi nje ya Nchi,naomba kwa wale wanaofanya biashara hiyo,wanijuze utaratibu,hasa vibali ninavyotakiwa kuwa navyo,upatikanaji wake,wapi vinapatikana, wakati...
0 Reactions
1 Replies
834 Views
Back
Top Bottom