Wana jf wenzangu naomba mnisaidie kupata sehemu au maeneo gani ya kuweka huduma za afya ? Nataka sehemu zenye sifa zifuatazo ,nyumba iwe inafikika kwa gari , nyumba iwe na vyumba visivyopungua...
Hivi hawa jamaa wako serious na Product zao maana Ofcoz product zao ni Affordable ila Garantii ni Muda Mchache Hali inayopelekea kua na mashaka na product zao....Wenye uzoefu na product zao...
Naomba mwongozo katika kuanzisha biashara ya spare za magari kama option no. 1 n.a. option no 2 ninayoifikiria ni biashara ya construction Hardware 3. Biashara ya kilimo. Naomba ushauri nipewe na...
Niwashukuru tu airtel kwa muda wote wa 3month niliovumilia kuwa nanyi am going back kwa wezi wangu voda majuzi walizima internet usiku na walitutaarifu.
Wanaupdate/upgrade network zao ziwe fasta...
Kufumba na kufumbua nimefanikiwa kupukutisha acc zangu ndogo za forex. Moja ilikua na $78 ambayo niliikuza kutoka $10
Nyingine ilikua 40 ambayo niliikuza kutoka $5 ndani ya siku 4.
Nilifanya...
Baada ya tetesi za muda kampuni ya Apple imetangaza rasmi kuinunua App maarufu ya kutambua muziki ya Shazam.
Katika taarifa iliyotolewa na pande zote mbili kulionesha mafanikio yaliyofikiwa kwa...
Cc Ontario jamaa kakusanya pesa za mazuzu halafu kawaacha hata Jf kawakimbia.poleni sana hakuna Mt anaependa ufanikiwe kama yeye ukiona mtu anakupa mbinu zakufanikiwa kama yeye mtizame mara 2...
Habarini wakuu
Nimewaza kuanzisha biashara ya vipodozi wakati naendelea kuitafakari na kuzungukazunguka hapa mjini nimewaza kupanga frame then niikate katikat upande mmoja niweke urembo na...
Nyumba ina bedroom 2 na sitting room, plus kitchen, store, bathroom and toilet inakodishwa. ipo sanawari kodi yake ni laki mbili na nusu kwa mwezi. pia kwa wale mnaojiandaa kufungua biashara zenu...
Chuma kinawekwa katika moto mpaka kinaiva kisha anabandikwa mnyama kwenye ngozi. Mifugo ingeweza kutamka maneno nadhani matusi yake yasingevumilika.
Watu wa haki za wanyama-TSPCA mpo wapi?
Hakuna...
Kama ume plan kufanya biashara Fulani then ukafanya hesabu ukakuta inahitaji 1milioni na wewe unakihasi hicho cha Pesa usianze na mtaji kamili cha kufanya chukua laki tano anza hivyo hivyo kwa...
Habari wana jamii
Kama kichwa cha somo kinavyo eleza hapo juu, tafadhali mwenye ujuzi na uzoefu wa mashine za kutoa nakala yaani photocopy machine anisaidie ushauri.
Je ni aina gani ya photocopy...
Habari Wakuu
Nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri...
Kama kichwa kilivyojieleza naitaji msaada wa mawazo,mm ni bint naishi mwanza naitaji kuanza biashara ya kuuza samaki niwe nanuunua wabichi na kuwakaanga then nauza,ivo kwa mwenye uzoefu wa...
Nimepata wateja wa kununua unga wa mahindi nje ya Nchi,naomba kwa wale wanaofanya biashara hiyo,wanijuze utaratibu,hasa vibali ninavyotakiwa kuwa navyo,upatikanaji wake,wapi vinapatikana, wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.