Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Erooo Wana JF! Nilikuwa Umasaini kwa muda,na nimerejea mjini. Nina swali nataka uliza hii kampuni HiTS Tanzania ambayo ipo chini ya Excellentcom (T) Ltd Kulikoniiiii?:confused: Mlisema mtaanza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, samahani nilikuwa na omba format ya company profile, yeyote anayeweza kunitumia naomba afanye hivyo tafadhali. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Imekuwa ni utamaduni dunia nzima kuazimisha maapisho ya maraisi yakitumia mamilion ya pesa za wenye nchi. Hili ni pendekezo langu iwapo raisi wa tanzania atachaguliwa kwa kipindi cha pili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Pilika pilika za mwanadamu kila siku zimekuwa zikipimwa na kipato akipatacho ambacho ni fedha za kujikimu maisha yake ya kila siku. Kuna watu ambao kwa mifano hai wanaona bora wasiwe na utajiri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wachina Watatumaliza Mwaka Huu Mkaguzi wa Chakula wa Mamlaka ya Chakukula na Dawa Tanzania (TFDA) Dk. Bahati Midenge akimwaga maziwa jijini Dar es Salaam jana wakati wa uteketezaji wa tani 34...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kumekuwa na kamtindo cha kupandisha bei ya bidhaa kwa kuwavutia wateja na kuwapotosha bei halisi na kusema ni bei punguzo ili kuwe na nafasi ya kuongeza gharama za ununuaji wa bidhaa hiyohiyo kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Polisi wachukue hadhari operesheni magari ya wizi Na Mhariri 26th May 2009 B-pepe Chapa Maoni Magari ndani ya eneo la Bandari ya Dar es Salaam yakisubiri kutolewa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Chinese made phones might hinder TCRA move to burst crime` By Mgeta Mganga 28th May 2009 A Chinese Mobile Phone Stakeholders in telecommunications industry have...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Millennium development holes Nature Vol 446 | Issue no. 7134 | 22 March 2007 The political commitment to helping the developing world is failing to deliver on its promises. The problem is made...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Govts discourage enterprise and penalise those fighting poverty Tajudeen Abdul-Raheem The irony of Africa being a very rich continent but Africans being some of the poorest peoples in the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu,jamaa na marafiki wa hapa JamiiForums mimi ni kijana ninayeomba msaada wa kueleweshwa njia za kuweza kununua gari zuri. 1.Nivitugani vya msingi vyakuweza kuzingatia katika manunuzi ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Rising British Labour Party star quits over expenses scandal : UK World London - A rising star in Britain's ruling Labour Party Friday became the first member of Prime Minister Gordon Brown's...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Just a few years back, Kochi or Cochin as it was then called in Kerala, God’s own country, was the scene of boats languidly gliding through the waters, Chinese fishing nets silhouetted against the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Date::5/26/2009 Benki Kuu Tanzania yazuia wabunge kuwemo bodi za mabenki Na Ramadhan Semtawa Mwananchi KATIKA hatua moja kubwa ya kuondoa mgongano wa kimaslahi, Benki Kuu Tanzania...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo asubuhi Wafanyakazi wa Kitengo cha kupakuwa makontena katika hii Bandari ya Salama wameanza mmgomo wao kufuatie kile ambacho waliona kama kuwa na wasiwasi wa mafao yao pale ambapo kuna tetesi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ajira imekuwa ngumu sana! ukimuuliza mzee mzaliwa wa miaka ya 1950 ALIYESOMA atakwambia alipomaliza 'middle-school'alikuta jina lake limetoka kwenye ajira katika wizara tatu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wafanyakazi wa Kitengo cha kupakua makontena Bandarini TICTS wameendeleza mgomo wao wa kutokufanya kazi mpaka kile ambacho walikiita "Kujua hatima yao " kama serikali ikiifungia kufanya kazi pale...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kenyafootball.com has learnt that industrialist, business magnate and billionaire tycoon Chris Kirubi has expressed an intention to buyout the Gateway Television Sub-Saharan Business operation...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nimetembelea mtandao List of countries by percentage of population living in poverty - Wikipedia, the free encyclopedia nikitaka kujua nchi ambazo wananchi wake wengi wanaishi katika umasikini wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…