Wakuu,
reliable news ni kwamba wafanyakazi wa kivuko kati ya magogoni na kigamboni wana mgomo baridi kwa sababu mbalimbali zinazohusu haki zao
it has hit hard watu wa kisiwani na nadhani kwa...
Naomba msaada kutoka kwa wenzetu wataalam wa uchumi kunielimisha juu ya hili suala la short-notice mandatory imposition of minimum wage katika sekta binafsi. Je uamuzi wa namna hii ambao...
Ndugu zangu wana JF nisaidieni, nilalamike wapi?
Narudisha watoto wangu shule na mwingine mmoja anaanza shule, kufika tu shuleni naambiwa ada ni dola za kimarekani kadhaaa, nashangaa...
In February 2010, Barrick announced plans to spin off its Tanzanian operations into a separate company, African Barrick Gold (ABG). A 25% stake in ABG will then be listed via an IPO in London...
Habari zenu wan JF.
Kwa kichwa cha habari hapo juu, napenda kuwasilisha. Tanzania ni nchi kubwa sana na yenye uwezo wa kutajirika vema ikiwa viongozi wetu watawajibika kama inavotakiwa na kuacha...
The Bank of Tanzania has started a process of establishing an ATM national switch which will enable all people with ATM cards to access money from any ATM machine of any Bank in the country...
Wednesday, 21 April 2010 19:36 0diggsdigg
Frederick Katulanda, Dodoma
MIFUKO ya Hifadhi ya Jamii Nchini, imekubaliana na Shirika la Umeme Tanzania(Tanesco), kuwekeza mabilioni ya fedha katika...
Wakubwa, sisi wengine hatupo hapo bongo kwa sasa, kutokana na kazi zetu. Nilikuwa naomba kuuliza, hivi bunge la tz linakaa lini? na kama tayari, WABUNGE WANALIONGELEAJE SUALA LA TZ KUTUMIA MAJI YA...
Kuna habari, iliyoandikwa na Daniel Mjema kutoka mjini Moshi (Mwananchi, 4/16/2010), yenye kichwa, Sheria ya DSE imechafua sifa ya nchi:
MWENYAKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa kampuni ya simu ya...
Mkurugenzi wa Mahusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba akiongea na wanahabari wakati wa uzinduzi wa huduma ya Habari ndiyo hii ya kuongea kwa shilingi 1 kwa sekunde hivi...
Kiunganishi: http://chahali.blogspot.com/2010/04/mabalozi-wa-utalii-muhimuuzalendo.html
Majuzi Rais Jakaya Kikwete alimteua Doug Pitt,mdogo wa staa wa filamu Brad Pitt,kuwa balozi wa heshima...
WanaJF:
Natarajia kujenga nyumba za kukodisha (2-3 bedroom flats) mwaka ujao. Ninatafuta architect anisaidie na uchoraji, na materials analyst anisaidie na bajeti.
Naomba mnisaidie na...
The World's Most Expensive Stuff 2010
by Venessa Wong
Tuesday, April 20, 2010
provided by
The Rich Spend Richer
More from BusinessWeek.com:
Art to Cigars: A Shopping List for the Superrich...
Kuna kampuni moja imedai imeshalijenga daraja la kigamboni, pitia tovuti hii
===
The project covers the feasibility study for the construction of Kigamboni Bridge in Dar Es Salaam, Tanzania. The...
Mishahara sekta binafsi Tucta yashtukia danganya toto Send to a friend Tuesday, 20 April 2010 22:30 0diggsdigg
Patricia Kimelemeta na Voina Maganda
Kapuya
SERIKALI, ambayo inahaha kujaribu...
Skandali ndani ya Kanisa Katoliki, hasa katika Nchi Zilizoendelea za Ulaya Magharibi na Amerika, inazidi kuchanua kiasi cha kumhusisha Papa Mtakatifu wa sasa alipokuwa Padri huko kwao Ujerumani...
Send to a friend Tuesday, 20 April 2010 07:42 0diggsdigg
Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkullo
Na Mwandishi Wetu
TANZANIA imeshapoteza Sh11.6 trilioni, ikiwa ni...
Kuna tetesi ile kampuni ya mabasi iliyoanza kwa kishindo ya Scandnavia Express yaelekea ukingoni.
1. wamesimamisha hudauma zote za usafiri wa mabasi
2. wafanyakazi wote wamepewa likizo ya miezi...
Napenda kuwashauri ndugu zangu tuwe na utamaduni wa kununua bidhaa kutoka kwa Wamachinga au vijana wa mitaani, sababu kubwa ni kama ifuatavyo;
1. kuunga mkono kazi zao ili wasikate tamaa ya maisha...