futikamba
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 243
- 13
Habari zenu wan JF.
Kwa kichwa cha habari hapo juu, napenda kuwasilisha. Tanzania ni nchi kubwa sana na yenye uwezo wa kutajirika vema ikiwa viongozi wetu watawajibika kama inavotakiwa na kuacha tamaa za pesa ndogo ndogo na kuwaza ufisadi daily.
Siku hizi, tanzania yetu imekuwa dampo la nchi nyingi tu duniani kutuletea bidhaa zao. Mfano mdogo tu, Blue Band. Hii bidhaa inaingizwa nchini kutoka eti hapo Kenya tu. Ina maana hapa TZ sisi tumeshindwa kweli kutengeneza siagi kwa ajili ya consumption yetu na export?
Huo ni mfano mdogo tu nimeutoa. Lakini ukiangalia kwa marefu na mapana, kuna vitu inabidi kusema ukweli vizuiwe kuingia nchini. Kama viongozi wa nchi yetu wangeliangalia hilo kwa kusaidia wajasiriamali wadogo wadogo kwa kuwapatia elimu na vifaa and especially wale wenye vipaji nna hakika Tanzania yetu ina mali nyingi sana za ku-export. Zilizopo sokoni kwa sasa hazitoshi. Akili na uwezo tunao. Nia yetu inadharauliwa na viongozi wetu. TUFANYEJE??
Kwa kichwa cha habari hapo juu, napenda kuwasilisha. Tanzania ni nchi kubwa sana na yenye uwezo wa kutajirika vema ikiwa viongozi wetu watawajibika kama inavotakiwa na kuacha tamaa za pesa ndogo ndogo na kuwaza ufisadi daily.
Siku hizi, tanzania yetu imekuwa dampo la nchi nyingi tu duniani kutuletea bidhaa zao. Mfano mdogo tu, Blue Band. Hii bidhaa inaingizwa nchini kutoka eti hapo Kenya tu. Ina maana hapa TZ sisi tumeshindwa kweli kutengeneza siagi kwa ajili ya consumption yetu na export?
Huo ni mfano mdogo tu nimeutoa. Lakini ukiangalia kwa marefu na mapana, kuna vitu inabidi kusema ukweli vizuiwe kuingia nchini. Kama viongozi wa nchi yetu wangeliangalia hilo kwa kusaidia wajasiriamali wadogo wadogo kwa kuwapatia elimu na vifaa and especially wale wenye vipaji nna hakika Tanzania yetu ina mali nyingi sana za ku-export. Zilizopo sokoni kwa sasa hazitoshi. Akili na uwezo tunao. Nia yetu inadharauliwa na viongozi wetu. TUFANYEJE??