WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
KUNA TANGAZO TBC1 kuwa kuanzia tarehe 4 May 2010 WAGENI WA WEF wanakuja nchini hivyo tuwapishe barabara - sasa tutapita wapi na ilhali hata bila ugeni barabara hazipitiki!
KUNA TANGAZO TBC1 kuwa kuanzia tarehe 4 May 2010 WAGENI WA WEF wanakuja nchini hivyo tuwapishe barabara - sasa tutapita wapi na ilhali hata bila ugeni barabara hazipitiki!
Mambo mengine bana....wapishwe ili iweje sasa?
Kigogo,tena nimepita leo mlimani nimecheka sana..yaaani wanapanda miti /minazi sijui ile wameing'oa wapi huko ili ionekane imeoteshwa siku nyingi..kweli uoumbafu ni kitu kibaya sana
Wawape likizo msiende kazini. Pia hakikisheni mnanunua mahitaji yenu ya kila siku mapema. Pia ombeni umeme usikatike ili vyakula vyenu kwenye majokofu visiharibike. Ni hayo tu.
tena nimepita leo mlimani nimecheka sana..yaaani wanapanda miti /minazi sijui ile wameing'oa wapi huko ili ionekane imeoteshwa siku nyingi..kweli upumbavu ni kitu kibaya sana
Upumbavu mtupu! wanajua Dar ilivyokuwa na msongamano mkubwa wa magari halafu bado wanataka kufanya forum kubwa kama hii Dar. Itakuwa raha sana mvua kama ya wiki iliyopita ipige tena kwa siku nne tu labda watapata fundisho kwamba Dar haina infrastructures ya kufanya kikao chochote kikubwa duniani, Afrika au hata katika East Africa tu. Kwa nini hawakupeleka kikao hichi Arusha? Ni nani aliyeamua kikao hiki kifanyike Dar? Hivi makao makuu ya nchi yetu ni wapi vile? Kwanini hawakupeleka kikao hichi kule?
Upumbavu mtupu! wanajua Dar ilivyokuwa na msongamano mkubwa wa magari halafu bado wanataka kufanya forum kubwa kama hii Dar. Itakuwa raha sana mvua kama ya wiki iliyopita ipige tena kwa siku nne tu labda watapata fundisho kwamba Dar haina infrastructures ya kufanya kikao chochote kikubwa duniani, Afrika au hata katika East Africa tu. Kwa nini hawakupeleka kikao hichi Arusha? Ni nani aliyeamua kikao hiki kifanyike Dar? Hivi makao makuu ya nchi yetu ni wapi vile? Kwanini hawakupeleka kikao hichi kule?
Sasa tunaambiwa kuna wageni tuwapishe - itakuwa ngumu kweli.Yetu macho.