Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Kwa siku 45 nilikua silii mchana, nakula tu asubuhi chai ya ragi na skonzi moja na yai moja, mchana napiga ndefu, usiku ndio nakula wanga kidogo na chai ndio nalala. Kila siku kabla ya kuoga...
25 Reactions
233 Replies
10K Views
Salaam , hakika kweli mfungo umekwisha, maongezi haya niliyashuhudia katika sehemu fulani ya starehe nikabakia kutahayari juu ya mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea katika meza jirani na nilipokuwa...
2 Reactions
34 Replies
705 Views
Naombeni ushauri na msaada kuna mtoto anakohoa sana nimetumia dawa zote hospitalini lakini bado. Wakati wa usiku ndo vinazidi mpaka anashindwa kulala halafu kinakuwa kikohozi kinamletea kama...
3 Reactions
45 Replies
1K Views
Nilikuwa napenda kujua tatizo la kuwashwa ndani ya uume pindi unapomaliza tendo la ndoa,unapojisaidia haja ndogo na hata ukiuminya linasababishwa na nini na tatizo linaitwaje?
0 Reactions
14 Replies
17K Views
1. Maji ya mvua Kuna watalaam wanasema sio salama kwakuwa yana chemicalza huko angani Kuna wengine wanasema ndo salama kwakuwa ni asilia, yamejichuja na yapo salama 2. Maji ya dukani Haya...
2 Reactions
56 Replies
1K Views
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) kwa kushirikiana na Taasisi ya MO Dewji Foundation imeandaa kambi ya upasuaji kwa Watoto 50 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi itakayofanyika...
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Heshima kwenu wadau. Naomba kujuzwa dawa ya maumivu ya mfupa wa kwenye goti, tatizo lilitokana na ajali ya boda goti likavunjika hata kutembea ikawa shida kwa muda wa miezi 6+ ni kitandani tu...
0 Reactions
14 Replies
430 Views
Mtoto wangu ni mdogo ana miaka miwili na nusu. Ndiyo alikuwa ameanza kuongea ila alikuwa anaongea kwa kutoa neno vizuri kabisa, ila sasa kama wiki hivi naona amekuwa na kigugumizi kwenye kuongea...
0 Reactions
5 Replies
245 Views
Kama heading inavyojieleza hapo juu mm ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nilipimwa afya tangu 2012 nikaambiwa niko postive na nikaanziishiiwa dawa sasa inaniwia vigumu kupata mke wa kuoa kwa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari Ndugu zangu naombeni msaada wenu juzi nilichepuka na mke wa mtu ndugu zangu sasa kinachonitia hofu ni hii hali ya kuwashwa makalioni. Hii hali inanitesa na hii leo siku ya pili nimenunua...
4 Reactions
100 Replies
9K Views
Habar wana Jf Leo nimekuja kutoa ushuhuda jinsi nilivyopona vidonda vya tumbo kwa kutumia bamia narudia mara 2 ni kiboko ya vidonda vya tumbo. Nimeteseka kwa muda sana nimetumia dose za gharama...
8 Reactions
14 Replies
558 Views
Poleni na mihangaiko ya mchana kutwa Ndugu Madaktari wa JF na wadau wote wa afya naomba msaada wenu. Mimi ni mama mjamzito mimba yangu ina wiki 35. Katika umri huu nimepima utra sound mtoto ana...
7 Reactions
62 Replies
1K Views
Mimi nina shida jamani naomba kama kuna mtu anajua au anamfahamu psychologist (Msaikolojia tiba) yeyote toka Muhimbili hospital akisaidiwa namba ake mimi niko huku tabora. Kuna mgonjwa anaumwa...
0 Reactions
20 Replies
318 Views
UGONJWA WA BARIDI YABISI NI NINI? Baridi yabisi ni neno la jumla kwa magonjwa au michakato mingine isiyo ya kawaida itokeayo kwenye viungo. Mamilioni ya watu ulimwenguni kote wanaugua aina fulani...
1 Reactions
2 Replies
260 Views
Nimekaa mda mrefu bila kufanya. Nikameita my wangu geto akaja. Nikafikiri itakua show show lakini asikuambie mtu mambo yakawa ndivyo sivyo. nikaanza romance kama kawaida jamaa akasimama strong...
9 Reactions
71 Replies
2K Views
Madaktari wa humu poleni na majukum ya kila siku naomba mnisaidie tiba ya ugonjwa huu.
1 Reactions
5 Replies
289 Views
Wakuu mimi ni Afisa muuguzi msaidizi. Niko Tarime Mara. Kama kuna mtu wa kada yangu Yuko Mwanza anahitaji kuhamia Tarime tuwasiliane. 07583886618
1 Reactions
7 Replies
189 Views
Habar wakuu ushauri wenu mke wangu siku yakujifungua presha ilikua juu sana akapigwa sindano yakushusha presha ndo kuweza kujifungua lakina baada ya akujifungua Bado presha ikawa juu kidgo...
6 Reactions
24 Replies
542 Views
Je ni kawaida kwa mwanamke kuona siku zake(mzunguko) kwa tarehe zisizo na utulivu mara kwa mara kwa karibu tena miaka miwili. Mwanamke ambaye siku zake sio steady atapataje mimba? Mfano mwanamke...
1 Reactions
6 Replies
184 Views
Wakuu,ivi unapohisi umekuwa exposed kwenye mazingira au umefanya sex na mtu ukahisi ana HIV, kisha ukaanza LTD (pep) within 72 hrs. Lakn badae ukagundua ulie sex nae Hana HIV ila Ilikuwa ni hofu...
1 Reactions
10 Replies
412 Views
Back
Top Bottom