Tuseme ukweli bila kupepesa macho
Unalala nayo kitandani
Ukiamka kitu cha kwanza ni kuiangalia
Ukiisahau nyumbani, siku yote unakuwa kama umetupwa kisiwa cha peke yako
Battery ikishuka chini ya...
Leo nimekaa nimemkumbuka baba mwenye nyumba yangu, kipindi nipo chuo huko mkoa Xy nilikuwa mlevi sana na baba mwenye nyumba yangu alikuwa ni mlevi sana, lakini walevi wastaarabu, tuliivana sana...
Leo nakumbuka miaka ya nyuma hadi nacheka. Boarding school hiyo flani watu tulishajiandaa jioni wali maharage. Siku za wali maamae tulikuwa na furaha kichizi. Hukuti kwenye pipa chakula...
Mwanaume hukuzaliwa kuwa mtumwa wa tamaa ya mwili wako
Lakini usipozinduka mapema, tabia zako sio tu zitakuua bali zitakuzika ukiwa hai.
Wengi wa wanaume hawaharibiwi na maadui zao....bali na...
Kuna maeneo na majina sitoyataja kwa makusudi ili kuficha walioathirika na matukio yaliyotokea ambao kwa sasa wengine ni watu wakubwa na vyeo vyao serikalini na vyombo vya dola.
Ilikuwa siku ya...
Mabibi na mabwana napenda kuitambulisha kwenu Avatar yangu mpya ambayo nitaitumia kwa mwaka 2025 nakuendelea.
Haki zote zimehifadhiwa hairuhusiwi kutumia Avatar hii mahali popote pale bila idhini...
● Kabla ya starehe, timiza majukumu yako
(Before pleasure,fulfill your responsibilities)
● Ukiona rafiki anahama,msaidie bila kuuliza
(If you see a friend moving,help without being asked)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.