JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Utani wa Feisal Fei Toto na wachezaji wenzie wa Taifa Stars, akiwa anakula chakula cha wenzie na kusema kuwa hana hela. Ni kweli Feisal hana hela?😅
2 Reactions
3 Replies
396 Views
Hivi kwanini mtu anapoitwa kwenye public or sehemu yoyote then akawa hana uhakika kama ni yeye ndio anaeitwa akigeuka na kusema Mimi lazima kidole chake kielekee kifuani, iwe kwa kugusa kabisa...
17 Reactions
95 Replies
4K Views
Nilichojifunza 2025 Nguvu ya mwanaume ni PESA tu, hata uwe na umri, akili & busara kiasi gani kama huna Pesa ni bure tu! 2026 Resolutions Kila kitu kinawezekana, tuwekeze nguvu na akili...
7 Reactions
5 Replies
685 Views
Wakuu hivi lodge zenye masharti kama haya zinapatikana wapi?
8 Reactions
42 Replies
2K Views
UZI WA VAYOLENSI; Njoo utoe makavu kama unayo! Kama wewe ni mwanamke usiyejishughulisha, maisha yako yanategemea kudanga au kuomba omba wanaume hela - jua unatumia kikojoleo chako kama shughuli...
5 Reactions
17 Replies
591 Views
Waungwana na wenye busara naomba mnishauri maana sasa hii imenizidi. Iko hivi 👇 Nimehamia kwenye hii nyumba mwezi wa 7 nikitokea mkoani huko nimekuja Dar kutafuta maisha. Sasa siku za awali kila...
10 Reactions
27 Replies
1K Views
Kwa nini wasafiri wa ndege huwa hawasali au kufanya dua/maombi ya kuombea safari kwa pamoja kama wasafiri wa bus za abiria? Bus zote za abiria ambazo nimesafiri nazo lazima wafanye maombi hata...
2 Reactions
12 Replies
661 Views
Aisee hii kwangu toka nmejitambua hii siku Huwa inanikuta Sina pesa je ni Mimi tu hii Hali hunitokea? Njooni mtoe ushuhuda wakuu
5 Reactions
19 Replies
658 Views
Habari wadau, Zama hizi kumekuwa na utaratibu wa wamiliki au madereva wa vyombo vya usafiri kuweka jumbe mbalimbali katika vyombo hivyo. Jumbe hizo huwa za aina tofauti tofauti: zipo za majivuno...
1 Reactions
12 Replies
841 Views
Jamani wale wote ambao tumewahi kuchunga wakati tukiwa wadogo kabla hatuja anza shule na hata baada ya kuanza shule yaani ukirudi shule unachunga na zile siku za wikiendi basi wewe ni kwenda...
26 Reactions
104 Replies
12K Views
Nitaanza na hawa Manfried , Covax na Magical power I DOWNT WANT PIS, I WAANT PROBLEMZI ORWEEZ.…
9 Reactions
48 Replies
1K Views
Siku za hivi karibuni nimezidi kuwachukia madereva bodaboda na makonda wa daladala. Si shauri na wewe uwachukie ila mimi nachukia sana wakiniita faza (kwani mimi ndio nimewazaa?). Wananiitaga...
10 Reactions
22 Replies
972 Views
Huwa nashangaa sana mtu anasema amenunua wigi la millioni saba. I know I love expensive things lakini there is no way siku nikiwa na mamilioni ya hela nikanunua wigi la millioni 7 au 15. No way 😤...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Hell Ngoja hili niseme sijui kama nipo sawa ila kwangu naona kama utoto ulio kithiri kabisa Una kutana na manzi humu jukwaan mna enda faragha kisha ukitoka tu una kuja kumuanzishia uzi hapa...
30 Reactions
300 Replies
6K Views
Oya kama unakubali kingereza Cha kocha Moroko weka msemo wake mmoja hapo chini
0 Reactions
7 Replies
516 Views
Wakuu 🔊 Tumekuwa na siku tano za kazi… je, imeshawahi kukutokea ukasahau kitu nyumbani mpaka ukalazimika kurudi kukichukua kwa sababu bila hicho kitu huwezi kabisa kuendelea na kazi yako? 😅...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Nina mgeni wangu ataingia jijini mwezi ujao msaada wenu hotel ya hadhi ya 10 star
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Nimekuwa nikiamini najua kuchekesha sana ila watu wananikataa. Juzi nimeenda Coco beach na nikakusanya watu ili kuwachekesha ila hawakucheka. Haiwezekani mimi nawachekesha watu ila wao hawacheki...
9 Reactions
37 Replies
1K Views
Hi people, Title inahusika, Mimi Skanka Wewe je?
33 Reactions
372 Replies
10K Views
Back
Top Bottom