JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Yani wanamuona msela kabisa amekaa zake anafurahia maisha n kisha unamuagiza mhudumu ampe vinywaji, huo ni uhuni wa zaman na dharau, unavyodhan ndivyo kumbe sivyo mtakuja kupigwa ngumi nyingi...
2 Reactions
29 Replies
990 Views
Fanya tu Utafiti kuanzia Enzi za akina Oscer Kambona hawa akina Mkapa na Warioba uje hadi kwa akina January na Nchemba PhD kisha malizia kwa akina Gambo, Kikeke na Mwijaku Wanawake wa Kichagga...
8 Reactions
33 Replies
1K Views
Uzi tayari
0 Reactions
3 Replies
251 Views
Nimeshangazwa na hili jibu lake kabisa Dah
10 Reactions
73 Replies
3K Views
Wakuu hongereni na poleni kwa majukumu Kwanza namshukuru Mungu kwa mema yote hadi nimefanikiwa kupata kazi serikalini. Mimi ni mwenyeji wa Mikoa ya Kusini ila kwa sasa nipo Arusha hivyo nitatokea...
6 Reactions
61 Replies
2K Views
Hapa tulipofikia katika Nchi hii, tunaomba Mungu mkuu na Mungu mwenye nguvu, utume jeshi la malaika zako kuja kuikomboa Nchi hii kutoka kwenye mikono DHALIMU. Amina.
0 Reactions
2 Replies
274 Views
Binadamu huwa tunatembeleana sana yaani je ni kitu gani ulikutana nacho ugenini ukabaki mdomo wazi au kucheka tu Mimi nilikutana na maneno katika kutambulishwa kwa mtoto wake mdogo alikuwa kama...
23 Reactions
134 Replies
6K Views
Drop any motto or saying that made you feel like this is huge. mine is :- I still repeat No Man will be buried uncircumcised, as long as I'm still working at the mortuary
11 Reactions
88 Replies
3K Views
JINA: Kijana Masikini SIFA: Nimewahi kumiliki hela za kutosha. kwanini aliyopo hatufai? 1. Hana nidhamu ya utu wala nidhamu ya pesa. (ushahidi ni ban alopewa jana) 2. Sio mbunifu. Akili...
17 Reactions
262 Replies
5K Views
Kati ya kufumaniwa na mke wa mtu na kukutwa unafanya uchawi kipi kina afadhali. Msala gani una afadhali kati ya hiyo misala miwili?😁
1 Reactions
10 Replies
441 Views
Eti ukienda bar hata ndio Una hela ila umeagiza mezani azam energy ya can,black and white,Serengeti lite 21.hivi kwa uelewa wako unahisije ukijipata NI lazima uweke bango kama hivo?
4 Reactions
12 Replies
577 Views
Ndugu zangu sikujua kuwa jina langu lina ukakasi humu Kuna wakati nilikua napata mashambulizi ya maneno humu na shutuma za uwongo uwongo. Nikajiuliza kulikoni?Leo ndo nimejua ukweli Maana...
7 Reactions
52 Replies
3K Views
Somewhere in Kigogo Sambusa.... Katika utulivu wa hali ya juu najiuliza haya maisha yangekuwaje bila kitimoto rost, ndizi mbili na kachumbari pembeni? Kungekua na mbadala wake?.... nikiwa ndani...
13 Reactions
42 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu Sii vibaya tukikumbushana maana ni ustaarabu wa kawaida kabisa. Unakuta mtu ana shughuri yake maybe send-off au ndoa, na anahitaji michango kutoka kwa wadau ndugu jamaa na...
3 Reactions
4 Replies
247 Views
Koo langu linawasha washa sana mida hii, wapi kuna vaibu nzuri ya muziki, nyama choma, totozi na vinywaji murua vya kulainisha koo? Nipeni chimbo wakuu, la kuburudika na kurusha rusha miguu, ndio...
4 Reactions
35 Replies
1K Views
Unataja location ulipo unakaribisha mtu yeyote aliyekaribu na sehemu ulipo. Kama ni piskali mnakula maisha safi.. Kama ni msela mnabadilishana mawazo mnapeana michongo maisha yanaenda.. Muda huu...
6 Reactions
20 Replies
521 Views
Habari wana Jf kwa ujumla, nadhani mko salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu. Kama ilivyokawaida ya wanajumuiya iishiyo pamoja kunakuwa na mambo ya kukutana, kufahamiana na kufanya...
48 Reactions
2K Replies
106K Views
Mwanamke alihisi mmewe anatoka na house garl akamtorosha kimyakimya akalala kwa chumbani kwa hoise garl na kuchomoa taa usiku jamaa akaingia akamvua nguo akamla bao mbili wakalala hadi asubhi...
10 Reactions
34 Replies
1K Views
Kwema wakuu! Uliweza kupata milioni moja (Tsh 1,000,000) yako ya kwanza ukiwa na umri gani? Ulifanya kazi gani,uliuza nini ukaipata? Unaweza pia kushare uliitumiaje? Cc: Mshangazi dot com | Demi...
21 Reactions
211 Replies
7K Views
Wakuu naomba mwongozo. Kwa mfano upo zako uko kitaa unamuona jamaa amechill sehemu anaperuziperuzi kurasa za jeieFu huku anachekacheka. Unatakiwa ufanyaje yani kwa fellow member kama huyu? Je...
9 Reactions
58 Replies
1K Views
Back
Top Bottom