Last week
1. Seran
2. ShesRise_1
3...?
Hawa waliongoza kwa kufunguliwa nyuzi
Kiumeni
1. min -me
2. chai ya rangi
3.. ?
Hawa wamemaliza wiki vibaya kwa majanga
Pongeza wa kumpongeza.. Mpe...
Mwanzo 38:9
Lakini Onani alijua kwamba hao watoto wasingekuwa wake. Kwa hiyo, alipolala na mke wa nduguye, alimwaga chini mbegu ya uzazi, asije akampatia nduguye watoto.
Habari za jioni wana jamii Naju
a Wapo Wengi Wanao Pigana Vikumbo Huko Pm Kukuwania Wewe... Najua Umeshatamkiwa Sana neno nakupenda na Bado Unaendelea Kumtakiwa Kila Siku Iendayo Kwa Mungu...
Ukichelewa kurudi nyumbani ni shida,ukiomba unyumba unapewa kwa manyanyaso.Ukikutwa unaongea na mwanamke mwingine hata kama ni mambo ya kawaida unaweza kulala Lock up.Kila kitu unaelezwa kwa ukali...
Kweli zama zinabadilika. Zamani nisipoingia jf hata kwa masaa manne tu nahisi nimepoteza kitu fulani muhimu. Sikuwahi kufikiri kama ningeweza kupita siku nzima bila kuingia jf. Ila ndo hivyo, leo...
Angalia wanavyofanana sana,
Katika kutoa insight ya makala ninayoandaa kuhusiana na kuku nitagusia hili swala ambalo limeshafanyiwa uchunguzi na wanasayasi wengine.
Ukimuona kuku ujue umemuona...
Uponyaji wa kiroho ni safari ya ndani inayolenga kurejesha amani ya moyo na uhusiano wako na Muumba au ulimwengu...
hatua ya kwanza na muhimu zaidi ni kusamehe.
Mambo muhimu ya kuzingatia...
Je kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)?
Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika?
Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri...
Sijakosea jukwaa nimeona hizi pongezi nizitolee huku
Sasa ni rasmi maandiko yetu ndani ya JamiiForums yatatambuliwa chanzo chake ni JamiiForums Tanzania
Sasa unapoperuzi kwenye majukwaa na mada...
Nyie mliojipata acheni sifa za kijinga za kujiposti na misosi kwenye mitandao ya kijamii.
Hali ya maisha sasa hivi kwa wengi ni ngumu chakula ni shida halafu kwa maksudi mnaturingishia hiyo...