JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
how do you manage urz?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Juzi kati tumemzika jamaa yetu mmoja,msahaulifu sana,kajishau kuvuta pumzi....
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hey Jf members kwa wale WACHAGGA saa hv wanajiandaa na kujikataa katika area zao mbuzi wakutosha KISUSIO kwa wamachame! Nakwa wale WASUKUMA sa hv ndo makg ya mchele ndo wanunua! Je wapendanao vp...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mtoto:Baba nimempenda Lucy mtoto wa jirani yetu awe mpenzi wangu Baba:Heri hata hujamtongoza,huyo ni dada yako Mtoto:Baba nimekutana na msichana mwingine Baba:Nani huyo? Mtoto:Joyce mtoto wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kizazi cha supra ni noma! Hebu msikie huyu wakuja alisikia kwenye redio mjini vijana wanakula bata ile mbaya yeye akaamua kuchukua wakwake kutoka kijijini na kuja nae mjini kwaajili ya kula bata.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ghafla alichomoza sekretari na kuwatangazia wageni waliopo kwenye benchi wakisubiri kumuona bosi kuwa 'mwenye haja kubwa tu ndo aingie kumuona bosi' kweli kiswahili kipana!
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Teja1. (hapa yuko kariokoo anamuuliza mwenzie walipo) E-mwanae tuko wapi hapa kichaa? Teja2. Tuko Jamaica hapa kwenye arobaini ya Bob. Teja1. Sasa mbona naona msitu mnene tu kachaa! Teja2. Ndo...
1 Reactions
93 Replies
10K Views
Niifananishe na nini dunia hii ninayoishi, imefanana na nguo iliyochakaa, iliyojaa viraka kila sehemu. Hebu angalia leo hii mambo yanayofanyika duniani, mara kuhalalisha ukameruni, wizi wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Baada ya kutoka chumba cha mtihani,wanafunzi walikamatana na kudundana mingumi ya kutosha.Mwalimu alipowakuta na kuwauliza kwanini wanapigana,mmoja wao akajibu;"mwalimu,mimi mtihani wa hesabu...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Hawa jamaa wanapopiga "round" kwenye vikao vyao huwa hawana hiyana katika kutoa pesa. Tatizo linakuja pale inapohitajika pesa kwa matumizi mengine nje ya kununua pombe wanakuwa wagumu kweli, sijui...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Jf ina memba wengi lakini wapo baadhi ambao kutokana na nature ya michango yao wametokea kuwa masupastaa. Fikiria watu kama M.Mkjj, Asprin, Finest, Maria Roza na wengine. Hivi kwenye maind yako...
1 Reactions
205 Replies
13K Views
10. Never walk without a document -- People with documents look like hardworking employees headed to important meetings. People with nothing in their hands look like they're headed for the...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Kanisani kulikua na ibada ya maombi PADRi akasema kama kuna muumin yeyote ana maombi ainuke. Mara mtoto akaenuka na kuanza kuwaombea wazazi wake, Akaanza mtoto: "Nawaombea wale wote wasiokua na...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
kuna aka katabia ka kumpigia mtu simu badala ya kukusikiliza kujua kwa nini umempigia simu anaanza kukuuliza hivi 'nani amekupa namba yangu'. Nashut down
0 Reactions
35 Replies
4K Views
najua wengi hapa wamesomea degree/certificate zao pale UDSM au basi Mlimani Primary Pale engineering au Coet au Foe kwa wale wa zamani kuna vigoda maarufu kama vimbweta hivi sifa yake kubwa...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
jamani kiukweli nimewamiss mno. nimetoka uhamishoni,mambo hayakua mazuri sana nimerudi nyumbani.kisses!!!!!!!!!!!!!!!!!!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
mimi nataka kuonana na mheshimiwa wa magogoni baba riz nipitie njia zipi ambapo nitaonana ne bila vikwazo
0 Reactions
19 Replies
3K Views
hey guys, Just wanted to share a serious matter that took place recently where i heard that. Exim Bank (T) Ltd have been sued with 146 million for participating in stealing / destroying and hiding...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Oya kuna watoto wa uswahilini walikuwa wakiongea, maongeza yao yalikuwa hivi. Wa1:Baba yangu aisee ni mwoga! Wa2:Kivipi? Wa1:Jana kaingia chooni kumuona mende akapiga kelele mpaka mama akaja...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
katika mahusiano ya mapenzi nani? Wakweli wanawake au wanaume
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…