kama ulishindwa kumuona mk.were kipindi kile cha Kampeni.. ambapo wanafanyaga kampeni za kitanda kwa kitanda, sasa hv ni ngumu..list imejaa mpaka october 2015.
mimi nataka kuonana na mheshimiwa wa magogoni baba riz nipitie njia zipi ambapo nitaonana ne bila vikwazo
nenda ikulu andika barua kuwa unataka kumuuzia ndege aina ya mbayuwayu .. Utakutanishwa nae anapenda sana hao ndege..
Labda umtegee wakati anatoka Bagamoyo kufanya mambo yake. Ana ratiba hiyo kila Ijumaa ya mwisho wa mwezi.
Source??
tomato