Habari wanaJf wote,
Story hii inahusu safari yangu kutokea Zanzibar kurudi Moshi, Kilimanjaro.
Ee bana dah nakumbuka ilikuwa ni sa 12 asubuhi kunduchi kwa mwenyeji wangu nikapewa chai ya maziwa...
Korogwe ni Wilaya mojawapo ndano ya Mkoa wa Tanga. Zingine ni Handeni , Lushoto , Pangani , Muheza , Kilindi , Mkinga na Tanga yenyewe
Ni Wilaya ambao ni kama Centre ya kila mahali kwa mikoa ya...
Mtoto anasema katumwa kuja kucheza. Nyumba aliyotumwa hakuna watoto ni watu age go.
Namuuliza anasema mama yake kamtuma aje kucheza. Nikauliza baba yupo? Kakajibu ndio.
Je niliyoyawaza mimi Babu...
NB: Mada hii naileta kwenu baada kupata inspiration kupitia thread ya donlucchese
Umeshawahi kupiga one katika levo yoyote ya elimu hapa nchini? Tukutane hapa.....!!!
Sijawahi kupata division one...
Stay away from older women
Stay away from older women
If i stay away from older women can't feel ok, the older the tighter,,,the tighter the sweeter......
Natumaini wote nyie ni wazima,
Well, naombeni mawazo yenu kwenye changamoto yangu hii ndogo, next week natarajia kuwa na kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa
Nilipanga niende Zanzibar ila hii...
Tokea juzi Ijumaa Jioni hadi Alfajiri hii ya leo ID yangu hii ya GENTAMYCINE ilikuwa Imedukuliwa na Wahuni hivyo kama kuna Maudhui yoyote yaliandikwa tokea hiyo juzi hadi jana jua si yangu bali ni...
Sababu.. ..
1. Mwarabu jana Kanikosesha Tsh Milioni 62 ili GENTAMYCINE niuage rasmi Umasikini wangu Ulionitukuka kwa muda mrefu.
2. Nalazimika kuwakwepa Watu Mtaani, kutopokea Simu zao na...
Moja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana...
Wazee habari zenu,
Kwanza juzi kwenye kusaka harakat za kupeleka mizigo bhna nilipata mteja yupo river side ubungo sasa nimetoka kariakoo nikafika had pale na boda nimetulia napiga simu inatumika...
Habari nyote (Waguma),
Hii ndio Dunia ilivyo mjitahidi uwe na gari hata kagari aina ya IST katakusaidia usionekane mnyonge na usipitwe na fursa ya pisi za mjini.
Hio ndiyo kanuni hirizi ya...
Ikumbukwe huyu mwalimu alinitaka yeye na kunishawishi na hatimae tumezama penzini, Sasa alikuta namsimulia jamaa yangu kuwa kuna mwanamke JF anajiita To yeye kuwa nampenda sana na nimepanga kwa...
Wanajamvi habari zenu?
Nimeona kuona mtu anaalamika kuhusu Fountain Gate academy kwamba watoto wanasoma muda mrefu bila kupumzika.
Hayo sisi hatuyataki tunataka tukutane na tuonyeshane kwenye...