Here we go again peace and emotion all up in your face,about to walk away...
both our hearts are broken
but the moment your gone all my colors fade, the bullets and liqour start to ricochet,I am...
Yaani mkiifanya halafu GENTAMYCINE sipo au sijaalikwa itakuwa ni sawa na Timu ya Taifa ya Argentina kupangwa bila Lionel Messi au Yanga SC kupanga Kikosi chake bila ya Pacome Zouzou au Simba SC...
Nadhani wengi wetu hasa sisi wazee wa mihangaiko (kuzurura) tutakua tumekutana naye sana huyu bidada EVA kwny Lodge nyingi tulizopita.
Mimi binafsi nmepita kwny Lodge zaidi ya 100 lakini Lodge...
Yani eti sasa hivi nimekamata hela ndefu billion na ushee kitakachotokea vizazi na vizazi vitasimulia.
Natinga pale kambini lugalo nimevaa magwanda ya kijeshi la marekani yenye bendera ya...
I hate you all. I dont care. Siishi maisha yangu kwa ajili ya yoyote. Nilikuja duniani kivyangu na nitaondoka kivyangu.
I don't care about anything sasa hivi simuamini yoyote hata mtoto mdogo...
Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya kuwa wa kwanza kucheka 😂😂😂😂
Hawa viumbe wanaijua tu hela, japokuwa kuitafuta kwao ni mtihani
Sikiliza matumizi ya dola 1
Namtafta sana huyu jamaaa lastseen yake ni December
Kama una ID nyingine nitafute broo
Pia kuna mtu anaitwa Captain chui mchafu (telegram)
Wagadawagada (telegram)
Mmoja wapo akiona huu uzi...
Hii imekaaje wanazengwe
Yaani nikiona mzigo wenye makalio makubwa akili aifanyi kazi vizuri.
Sina uhakika kama ubongo wangu uko-wired vizuri, inawezekana makalio makubwa yanasababisha shoti...
Ulishawahi kupita maeneo au umekaa sehemu ukaona kitu kizuri kinauzwa ukawaza kumnunulia mtu kama zawadi ukaghairi au ukakosa mtu wa kumnunulia.
Mie imewahi nikaamua tu kuacha kwakuwa mtu...
Nikiwa mtoto bhana, Nilikuwa napenda sana michezo, moja ya mchezo ni Kuendesha lingi, Kuwinda ndege kwa manati.
Kuna ile Unatengeneza gari la mbao na mipira inakuwa kama spring na unaweka kamba...
Habari zenu bas bwana miaka ya nyuma nirikua nikienda posta kufata vipaseli vya kununua au mzgo kira mtu nirikutana nae nirijuwa ni mwanaJamiiForums.
Yaan kira niromuona ofsi za posta nirijua ni...
Ukifanya jambo jema likaambatana na mvua ujue hiyo ni Baraka, Mungu wa Mbinguni amesikia Maombi
Ila Nina uhakika Akina Mwijaku na Kitenge wasingevumilia kunyeshewa 😂😂
Good morning!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.