Mzee Mwanakijiji Platinum Member Mar 10, 2006 33,478 39,997 Jul 19, 2011 #1 Wengine wataaamua kama tutafika!! Attachments Wanapocheza na Umeme.mp4 35.6 MB Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
A Aine JF-Expert Member Nov 1, 2010 1,603 488 Jul 19, 2011 #4 Jamani hii kali, hivi Ngeleja ameona hii? umenichekesha sana MMK
JS JF-Expert Member Sep 29, 2009 2,064 499 Jul 19, 2011 #6 Bado hizo nyaya hazijacheza rede na mdako.......
Asprin JF-Expert Member Mar 8, 2008 68,012 95,358 Jul 19, 2011 #7 Hii kuvunjana mbavu namna hii si tabia nzuri!
BPM JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,760 573 Jul 19, 2011 #8 hahahahaha inapendeza.. wangetumia watu wa tanesco katika matangazo yao
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,502 86,050 Jul 19, 2011 #9 MMk ngoja nitafute PowerPoint nikaifanyie Presentation pale bungeni fasta hio picha hapo kwa niaba yako walioshika waya nadhani ni Pinda na Upande wa Pili ni Bunge na anayecheza ni Ngeleja...............duh
MMk ngoja nitafute PowerPoint nikaifanyie Presentation pale bungeni fasta hio picha hapo kwa niaba yako walioshika waya nadhani ni Pinda na Upande wa Pili ni Bunge na anayecheza ni Ngeleja...............duh
Obe JF-Expert Member Dec 31, 2007 9,982 34,476 Jul 19, 2011 #10 Hiyo nguzo ya pembeni kulia inatamani nyaya zake zikatike ili nayo iingie kuruka ha ha ha ha ha ha
Domhome JF-Expert Member Jun 28, 2010 3,197 3,930 Jul 19, 2011 #11 Mzee Mwanakijiji said: Wengine wataaamua kama tutafika!! Click to expand... Kama vile jiwe la Ukara!!
Mzee Mwanakijiji said: Wengine wataaamua kama tutafika!! Click to expand... Kama vile jiwe la Ukara!!
Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,445 Jul 19, 2011 #13 Hapo bado mchezo wa kibaba haujaanza
Mentor JF-Expert Member Oct 14, 2008 20,328 23,879 Jul 19, 2011 #14 Hahahahahahahaha....wao wanacheza sisi tunakosa umeme!
Roulette JF-Expert Member Dec 15, 2010 5,579 5,381 Jul 19, 2011 #15 ukiskia mtu anakwambia umeme unacheza basi pata picha hapo. nimecheka kweli.
Tangawizi JF-Expert Member Jun 25, 2009 5,173 3,896 Jul 19, 2011 #16 Wizara ya nishati na madini imekuwa mgodi wa kuvuna mahali tusipopanda...watu ni kula wenyewe tu bila kuchoka
Wizara ya nishati na madini imekuwa mgodi wa kuvuna mahali tusipopanda...watu ni kula wenyewe tu bila kuchoka
Blaki Womani JF-Expert Member Feb 28, 2011 11,229 13,431 Jul 19, 2011 #17 ha ha ha ha ...inachekesha na kuhuzunisha .........hakuna kuchoka mpaka waya zikatike......mkuu wa kaya anatakiwa kuiona hii
ha ha ha ha ...inachekesha na kuhuzunisha .........hakuna kuchoka mpaka waya zikatike......mkuu wa kaya anatakiwa kuiona hii
Njowepo JF-Expert Member Feb 26, 2008 9,710 2,226 Jul 19, 2011 #18 Naona kifuatacho ni kuanikia nguo tuu
KAKA A TAIFA JF-Expert Member Apr 27, 2011 566 80 Jul 19, 2011 #19 Mabawa yote yanayozalisha umeme ,mtera,kidatu yametoboka/ yanavuja tutafute wataalamu wa kuziba kwa chini.hata mabomba yanayosafirisha gas yameziba ,milingoti nayo inasumbuliwa na ,upepo sana,wanatafutwa wawekezaji kuimarisha nguzo zisichezecheze tena.saidia na omba tenda
Mabawa yote yanayozalisha umeme ,mtera,kidatu yametoboka/ yanavuja tutafute wataalamu wa kuziba kwa chini.hata mabomba yanayosafirisha gas yameziba ,milingoti nayo inasumbuliwa na ,upepo sana,wanatafutwa wawekezaji kuimarisha nguzo zisichezecheze tena.saidia na omba tenda
Rubi JF-Expert Member Oct 5, 2009 1,615 326 Jul 19, 2011 #20 Makubwa nilikuwa sijaona kuwa umeme stimu zinavyocheza angweke ...................